Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Tulicheza vizuri,morali ya Timu ilikuwa juu sana..Lingard anakosha sana namna anavyocheza.. Man united die hard.
Ndo raha ya kuzalisha vijana toka kwenye academy na kuwapa nafasi muone ANGEL GOMES akifikisha umr wa kina lingard kama mambo yataenda sawa ni hatar kwenye kiungo kacheza kiungo mdogo kabisa SCOTT halafu mtu unataka mourinho atoke jaman Mungu atasamehe hapa bado TUANZEBE na wakina DEMITRI naona kabisa mourinho anainua timu kurud zama zake hao watoto wate hawajavuka 20 miaka

Scott mctominay kacheza vizur sna katikati
 
Screenshot_20180127-074808.png
 
huyu jamaa anaonekana hata mpira hajui,martial ndo second au third topscorer wetu season hii
Nimeshindwa kumuelewa kabisa yaani, dogo Rashford ni mzuri lakini amekuwa too selfish season hii.

Martial amejitahidi Sana, especially combo yake na Lukaku. Mara nyingine amekuwa akitoa assist kwa Lukaku.
 
Wadau app gani inaonyesha mechi live, maana nimezujaribu nyingi but baada ya muda zinasumbua!
 
Uzoefu wa mchezaji Alexis Sanchez pamoja na ubora wake umeleta mwelekoo mpya katika safu ya mashambulizi ya klabu ya Manchester United, kulingana na mkufunzi Jose Mourinho.
Mchezaji huyo wa Chile , 29, alitoa pasi mbili zilizosababisha mabao mawili katika mechi yake ya kwanza katika klabu hiyo tangu uhamisho wake kutoka Arsenal katika ushindi wa 4-0 dhidi ya klabu ya Yeovil katika mechi ya raundi ya nne ya kombe la FA.
''Ni mchezaji mzuri sana'' , alisema Mourinho kwa BBC michezo.
''Uamuzi wake wa bao la pili ni chaguo ambalo mchezaji kama Marcus Rashford ni muoga kufanya''.
Aliongezea: Sancheza analeta klasi na ukomavu katika timu hii.

Sanchez alihamia Manchester United kutoka Arsenal siku ya Jumatatu huku mchezaji wa Man United Henrikh Mkhitaryan akielekea Arsenal.
Huku Zlatan Ibrahimovic akichezeshwa kama mchezaji wa ziada wa Romelu Lukaku katikati ya mashambulizi, Sanchez anatarajiwa kushindana na Rashford, Anthony Martial , Jesse Lingard na Juan Matta nyuma ya mshambuliaji.
 
Mh! Sijapenda hapo kwenye rangi nyekundu. Anataka kumtia hofu huyu na kutafuta sababu ya kumuweka bench. Rashford ni mchezaji mzuri sana badala ya kumponda hadharani anatakiwa ahamasishwe zaidi.

Uzoefu wa mchezaji Alexis Sanchez pamoja na ubora wake umeleta mwelekoo mpya katika safu ya mashambulizi ya klabu ya Manchester United, kulingana na mkufunzi Jose Mourinho.
Mchezaji huyo wa Chile , 29, alitoa pasi mbili zilizosababisha mabao mawili katika mechi yake ya kwanza katika klabu hiyo tangu uhamisho wake kutoka Arsenal katika ushindi wa 4-0 dhidi ya klabu ya Yeovil katika mechi ya raundi ya nne ya kombe la FA.
''Ni mchezaji mzuri sana'' , alisema Mourinho kwa BBC michezo.
''Uamuzi wake wa bao la pili ni chaguo ambalo mchezaji kama Marcus Rashford ni muoga kufanya''.
Aliongezea: Sancheza analeta klasi na ukomavu katika timu hii.

Sanchez alihamia Manchester United kutoka Arsenal siku ya Jumatatu huku mchezaji wa Man United Henrikh Mkhitaryan akielekea Arsenal.
Huku Zlatan Ibrahimovic akichezeshwa kama mchezaji wa ziada wa Romelu Lukaku katikati ya mashambulizi, Sanchez anatarajiwa kushindana na Rashford, Anthony Martial , Jesse Lingard na Juan Matta nyuma ya mshambuliaji.
 
Back
Top Bottom