mkurya org.
JF-Expert Member
- Sep 25, 2014
- 1,571
- 1,691
Kwan hajui anachokifanya si kila mechi anakosesha watu ushindi aambiwe tu wazi ajirekebisheMh! Sijapenda hapo kwenye rangi nyekundu. Anataka kumtia hofu huyu na kutafuta sababu ya kumuweka bench. Rashford ni mchezaji mzuri sana badala ya kumponda hadharani anatakiwa ahamasishwe zaidi.