SaidAlly
JF-Expert Member
- Jan 22, 2011
- 2,339
- 2,249
Martial na Rashford ni wazuri sana, sema sometimes wana vimbwembwe vya kijinga sana.....Lukaku hili jambo linamtesa mno la ubinafsi kila mtu anataka afunge daa spurs tu wameweza kuweka mfumo wao vizur ni kane tu lazima apate mipira
Pia tukifanikiwa kumpata sanchez sio mbinafs
Wanakua kwy sehemu nzuri ya kumove au kufunga lkn wanaleta mbwembwe, alafu Mou akiwaka mnasema hana mahusiano mazuri na wachezaji.
Mfano Mikh kuna game kibao alikua anafanya utumbo....Mou kampa second chances nyingi tu dogo bado ana dangadanga....amfanyeje sasa?? Kwendraaa....
Nimegundua game yeyote wakicheza pamoja Martial, Rashford na Mata kwa pamoja utoto unakua mwingi. Wanataka kucheza kama barca wakati control ya kuhold hawana.
Dawa ni Rashford na Martial wame wanapigwa sub wenyewe kwa wenyewe kama zamani ili watie akili