DonDonald
JF-Expert Member
- Feb 14, 2011
- 2,542
- 2,741
Timu inaweka Mbwembwe na uzembe kwenye 18 utadhani wameshinda goli 10
Moja ya tatizo sugu kwa Man Utd msimu huu
Timu inaweka Mbwembwe na uzembe kwenye 18 utadhani wameshinda goli 10
Moja ya tatizo sugu kwa Man Utd msimu huu
Lilikua goli la wazi kabisa yaanAngeshatupia la pili Pogba akambania pass
Hii aibu umeitaka mwenyeweNakuhakikishia hawezi kufunga..toa weka Rashford uone mabeki watakavyokimbizwa.
Us
Yani kuna wakati mtu unawezafikiri wamehongwa wasifunge
Lukaku hili jambo linamtesa mno la ubinafsi kila mtu anataka afunge daa spurs tu wameweza kuweka mfumo wao vizur ni kane tu lazima apate mipiraTimu ina wachezaji wabinafsi sana yani.