Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Yaaas Young leo ndani, nategemea kuona mpira mtamu sana...
 
Ila hatujamfanyia haki mkhitaryan kalazimishwa kwenda arsenal kishaaga kesho sanchez atatangazwa jamaa kaondoka uwanja wa mazoezi akilia so sad japo tunamfurahia sanchez ila sijui kwa nini walimtanguliza huyu mchezaji wetu kwa nini wasingewapa arsenal hata £50 mana ile jezi wiki moja tu zinarud
Huyu Mkhit mtamkubuka sana tu. Mtatamani kumnunuw zaid ya 100.
 
Wakuu anaechek game vipi Leo tutatoboa?babu Wenger anajua sana kuwapatia arsenal aisee watasahau machungu yoteee
 
wiki tatu zilizopita alipewa suspension.... hivyo hakucoach yy....leo karudi una swali????
Kwa ujinga wenu huu hamtaweza kumtoa huyo babu hapo..na miaka yote mtaishia kugombania nafasi ya 4 kila msimu.
 
Ni kwamba timu inadefence ama vipi maana sielewi First half hamna hata kitu on target? I Hata off target nadhani hamna Mou asitufanyie hivi aseee.
Kuna boya humu anaitwa Ro... Atachonga sana dah.
 
Kwa ujinga wenu huu hamtaweza kumtoa huyo babu hapo..na miaka yote mtaishia kugombania nafasi ya 4 kila msimu.
pumbav...au kisa we ulimaliza wa sita...
Timu yako ile si una timu yako manure..
 
Back
Top Bottom