Wild sniper
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 4,426
- 8,726
Ni kweli mkuu hata mimi sijafurahi na jamaa kuondoka hivyo ni bora angepewa choice hata ya kurudi ujerumani lakini ndo hivyo angebaki angekaa benchi sana maana Mou hamuamini tena.Ila hatujamfanyia haki mkhitaryan kalazimishwa kwenda arsenal kishaaga kesho sanchez atatangazwa jamaa kaondoka uwanja wa mazoezi akilia so sad japo tunamfurahia sanchez ila sijui kwa nini walimtanguliza huyu mchezaji wetu kwa nini wasingewapa arsenal hata £50 mana ile jezi wiki moja tu zinarud