Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Game huenda ingeisha 5-4 kama timu zote wangetumia nafasi vizuri,sikubaliani na SAF kumchezesha Valencia beki
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
Game huenda ingeisha 5-4 kama timu zote wangetumia nafasi vizuri,sikubaliani na SAF kumchezesha Valencia beki
Nadhan hatuna option nynge au?...mabek wetu weng n majeruh, na ile shambolish perfomance ya CL naona Rio alistail kuanza nje.
 


[h=2]Fergie eyes four more years[/h]Manchester United boss Sir Alex Ferguson believes he has "three or four years" left in management as he closes on 25 years at the Old Trafford helm. Read
 
Waungwana nilikuwa nimekamatika kiana na mambo mawili matatu. Kwa kifupi performance yetu tangu mechi ya Chelsea imekuwa ya ajabu ajabu especially beki. Nitakuwa najitahjidi kuchungulia kila mara nitakapokuwa napata nafasi.
 
Waungwana nilikuwa nimekamatika kiana na mambo mawili matatu. Kwa kifupi performance yetu tangu mechi ya Chelsea imekuwa ya ajabu ajabu especially beki. Nitakuwa najitahjidi kuchungulia kila mara nitakapokuwa napata nafasi.

Pamoja kaka, sie tupo tunaliendekeza libeneke apa jamvini.
 
Mjomba vipi mambo mbona jana mlishindwa kuzuia muziki wa Spurs ?.


Ameenda kutafuta maandazi maana Di Gea bila maandazi ta Tesco haono mpira khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Mjomba vipi mambo mbona jana mlishindwa kuzuia muziki wa Spurs ?.

Hukuona mpira nini wewe? Magoli ya soccer sio netball ... ..... ... kwa mtindo huo lazima mshinde EPL every decision in favour of Manure and by all means against Gunners kwa sababu ndio tishio kubwa. Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Vidic yuko wapi wakuu.............

Vidic alikuwa majeruhi muda mrefu, ila next game atacheza, pia Smalling na Tom Cleverly wameshapona na watacheza game ijayo na Liverpool.
 
Hukuona mpira nini wewe? Magoli ya soccer sio netball ... ..... ... kwa mtindo huo lazima mshinde EPL every decision in favour of Manure and by all means against Gunners kwa sababu ndio tishio kubwa. Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

Nipe mkono basi, Tehetehe, Kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeekheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee.
 
Nipe mkono basi, Tehetehe, Kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeekheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee.
article-1268534-092CB0B8000005DC-748_468x286.jpg




Man_Utd_ace_nicks__1384216a.jpg



SNE2201P-682_1149111a.jpg




Nanyi mmezidi bana mnaharibu vijana ushoga nyie, wizi nyie, uharamia nyie ... .... wacheni unoko ..... ..... .... mnaharibu vijana wa kesho khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee


 
Nanyi mmezidi bana mnaharibu vijana ushoga nyie, wizi nyie, uharamia nyie ... .... wacheni unoko ..... ..... .... mnaharibu vijana wa kesho khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee


Sipati picha WACHA1 umekonda kiasi gani kozi mshabiki yeyote wa Arsenal hawezi nenepa hata siku moja.
 
Sipati picha WACHA1 umekonda kiasi gani kozi mshabiki yeyote wa Arsenal hawezi nenepa hata siku moja.

Khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee kunenepa ulikonenepa wewe ni dalili ya utapia mlo khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Back
Top Bottom