ARV
JF-Expert Member
- Sep 6, 2011
- 5,527
- 7,923
Acha mahaba yaliyopitiliza. Kama mtu ameshindwa ameshindwa tu...huyu hafai hapa Man U, aondoke.And you call yourself a Man United supporter!!
Acha mahaba yaliyopitiliza. Kama mtu ameshindwa ameshindwa tu...huyu hafai hapa Man U, aondoke.And you call yourself a Man United supporter!!
Jogoo ndio kitu gani?Hongereni kwa kuingia round ya pili,hakika mlistahili
Je bado kuna team Ulaya inapenda kukutana na Majogoo playoffs?
Acha mahaba yaliyopitiliza. Kama mtu ameshindwa ameshindwa tu...huyu hafai hapa Man U, aondoke.
Hahahahaha linga messJESSE Lingard. Ndiyo, Jesse Lingard huyuhuyu unayemjua wewe. Ndiye, mchezaji ambaye yupo kwenye kiwango bora kabisa kuliko mastaa wote unaowafahamu wewe huko Ulaya.
Ni Lingard huyuhuyu ambaye mashabiki wa Manchester United hawamkubali sana. Lakini, ukitafuta ukweli na kama unapewa chaguo la kusajili mchezaji kwa sasa kwa kuzingatia ubora uliopo, ukiwekewa Lionel Messi na Lingard, hakuna atakayekushangaa ukimbeba Lingard. Hahahaha. Hii inahusu kiwango cha sasa cha mastaa hao wawili.
Kwenye mabao 14 ya mwisho yaliyofungwa na Manchester United, Lingard amehusika kwenye nusu ya mabao hayo, kiwango bora kabisa ambacho kinamfunika Messi hadi kuingia anga za mpinzani wake wa miaka yote kwenye soka, Cristiano Ronaldo.
Kwa kukusanya rekodi za mechi tisa zilizopita, Lingard amewaburuza mastaa wote wanaonekana kuwa bora huko Ulaya. Katika mechi hizo timu za mwisho, Lingard amefunga mabao saba na asisti mbili. Rekodi bora kabisa, ambayo hata Messi hazifikii, lakini zikimweka kwenye daraja moja na wakali kama Ronaldo, Neymar na mwenzake Kylian Mbappe. Cheki rekodi za mastaa wengine.
Jesse Lingard – mabao 7, asisti 2
Hii inaitwa usiyempenda kaja. Lingard si mchezaji anayeshabikiwa sana huko Man United, lakini ukweli utabaki palepale, ndiye mwokozi wa kikosi hicho cha Old Trafford kwa siku za karibuni. Lingard amekuwa kwenye kiwango bora kabisa, ambapo katika mechi tisa za mwisho alizocheza, amefunga mabao saba na kuasisti mengine mawili.
We umemsahau Jose????Hii vita ya maneno kati ya mourinho na conte binafsi kwa upande wangu sioni kama ina msaidia mourinho na siipendi anavyofanya ajikite ktk timu yetu
Haya mambo yanamharibia sana ni kocha mzurWe umemsahau Jose????
Really......halafu wakati mwingine hajali matokeo ya timu yake anaongelea haya mambo ...... Waga ninamshangaa kwa kweli..Haya mambo yanamharibia sana ni kocha mzur
Unafikir tutatoka ka nyie....Leo washika bunduki wanafundishwa range. Mpira wa huu badala ya kipa kuruka anainama!
Tumeona 4G si mchezo....kikazi zaidiUnafikir tutatoka ka nyie....
Hatuendi uwanjani kutingisha nanihii
Sa penaltiTumeona 4G si mchezo....kikazi zaidi
Kuwa makini sana na uandishi wako ohoo!!Really......halafu wakati mwingine hajali matokeo ya timu yake anaongelea haya mambo ...... Waga ninamshangaa kwa kweli..
Kosa la Mourinho liko wapi?Hii vita ya maneno kati ya mourinho na conte binafsi kwa upande wangu sioni kama ina msaidia mourinho na siipendi anavyofanya ajikite ktk timu yetu