ikhatibu
JF-Expert Member
- Nov 14, 2013
- 2,491
- 2,477
Genge la wahuni. Umefurahi?HIVI HII NI TIMU AMA GENGE LA WAHUNI????
Genge la wahuni. Umefurahi?HIVI HII NI TIMU AMA GENGE LA WAHUNI????
Punga ni Baba yako aliepakaziwa wewe na mama yako kuwa ni mwanae kumbe wewe ni Mtoto wa mchimba mitaro mtaani....Hivi kwann mnahangaika na huyu punga, achaneni nae bhana
Suala sio yeye kuchukua kikombe au la, what I have been stressing since today morning ni mourinho huwa na wakati mgumu anapokuwa ligi moja na pep Guardiola... Nimekuwekea picha hapo angalia Mourinho alipokuwa Madrid alichukua vikombe vingapi.Madrid walikaa muda gani bila kinyakua la liga? Na waliponyakuwa la liga pep hakuwepo?
KalaleGenge la wahuni. Umefurahi?
Halafu we kemUyo ni ke nimeacha kubishana nae![]()
![]()
![]()
Kwahyo ulitaka tumlete nan anayeweza kupambana na gudiola kwa kuangalia izo data zako ??Suala sio yeye kuchukua kikombe au la, what I have been stressing since today morning ni mourinho huwa na wakati mgumu anapokuwa ligi moja na pep Guardiola... Nimekuwekea picha hapo angalia Mourinho alipokuwa Madrid alichukua vikombe vingapi.
Rekodi zinaonesha alibeba ubingwa wa laliga Mara 1 tu, halafu angalia upande wa Pep alibeba ubingwa Mara ngapi. Mpaka hapo hujaona nani ni bora na nani alikuwa na wakati mgumu dhidi ya mwenzake.
Ni kichaa pekee ndio anaweza kuupinga huu ukweli "Naked truth"
Kwa ile barcelona ndo usimange mourinho ndugu haupo ulimwengu wa soka manchester ya sir alex ilifanywaje? Mess,xav,iniesta na busquet had muda huu hamna viungo wanaokaribia ktk ubora waliokuwa nao pep alibeba kila kitu alipoend ujeruman na ile buyern yake alifika fainali ya uefa?Suala sio yeye kuchukua kikombe au la, what I have been stressing since today morning ni mourinho huwa na wakati mgumu anapokuwa ligi moja na pep Guardiola... Nimekuwekea picha hapo angalia Mourinho alipokuwa Madrid alichukua vikombe vingapi.
Rekodi zinaonesha alibeba ubingwa wa laliga Mara 1 tu, halafu angalia upande wa Pep alibeba ubingwa Mara ngapi. Mpaka hapo hujaona nani ni bora na nani alikuwa na wakati mgumu dhidi ya mwenzake.
Ni kichaa pekee ndio anaweza kuupinga huu ukweli "Naked truth"
We qumer hakuna sehemu niliyokutaja wala kuku qoute naomba usiniletee balaa saiziPunga ni Baba yako aliepakaziwa wewe na mama yako kuwa ni mwanae kumbe wewe ni Mtoto wa mchimba mitaro mtaani....
Una lingine ???
Uyo hana facts bali ni chuki tu na morunhoKwa ile barcelona ndo usimange mourinho ndugu haupo ulimwengu wa soka manchester ya sir alex ilifanywaje? Mess,xav,iniesta na busquet had muda huu hamna viungo wanaokaribia ktk ubora waliokuwa nao pep alibeba kila kitu alipoend ujeruman na ile buyern yake alifika fainali ya uefa?
gadiola alikuwa wap?
Hahahaha hana jibu apo kaliacha swali hiloNadhani ndio alikuja bongo kuipandisha singida united. Hahaha......
Swali zuri sana! Ukijibiwa tofauti naomba unitagi.
Hivi wewe jamaa unajua hata kusoma kiingereza??Suala sio yeye kuchukua kikombe au la, what I have been stressing since today morning ni mourinho huwa na wakati mgumu anapokuwa ligi moja na pep Guardiola... Nimekuwekea picha hapo angalia Mourinho alipokuwa Madrid alichukua vikombe vingapi.
Rekodi zinaonesha alibeba ubingwa wa laliga Mara 1 tu, halafu angalia upande wa Pep alibeba ubingwa Mara ngapi. Mpaka hapo hujaona nani ni bora na nani alikuwa na wakati mgumu dhidi ya mwenzake.
Ni kichaa pekee ndio anaweza kuupinga huu ukweli "Naked truth"
Hivi wewe jamaa unajua hata kusoma kiingereza??
Mourinho 23 in total and Pep 21. Iweje pep awe bora kuliko Mou??
Itabidi uresit KKK wewe...Kusoma, Kuandika na Kuhesabu.
Hatutakiwi tufike huko vipindi vya mpito vipo kwa kila timu cha muhimu kisiwe kirefu kama majirani na watani zetu usiniambie niwatajeHa ha ha ha ha mi nimecheka sana jamaa alivyokomenti kwa hasira
Amemuweka tena Mkhitaryan, huyu kocha ni jipu...hakuna mechi anayoanza huyu tukashinda. Si mlisema ameachiliwa aondoke Old Traford, bado tuuuu![]()