Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Watanii mpoooo

Meneja wa Manchester United Jose Mourinho ameitaka klabu yake kumsajili N’Golo Kante kama wanataka abakie Old Trafford. (Don Balon)
 
Tetesi
Fellaini anataka kuondoka Man United


Marouane Fellaini amemwambia Jose Mourinho kwamba havutiwi kuendelea kubaki Manchester United, kwa mujibu wa Sun.
Kiungo huyo wa Kibelgiji, ambaye amekuwa akisumbuliwa na majeraha msimu huu, anamaliza mkataba wake majira ya joto.
Baada ya kukataa mkataba mpya mwezi Septemba amekataa kwa nguvu zote kushawishiwa na Mourinho kusaini mkataba mpya.
 
Timu ya daraja la chini Yeovil Town imepangwa na Manchester United kwenye raundi ya 4 ya kombe la FA
Timu hiyo ambayo ipo daraja la pili ilifanikiwa kuiondoa klabu ya Bradford City kwa magoli 2-0 wikendi iliyopita na sasa watawakaribisha United kwenye uwanja wao wa nyumbani wa Huish Park mwishoni mwa mwezi huu
Pia klabu nyingine ya daraja la chini ya Newport Country, ambao waliwaondoa Leeds United nao watavaana dhidi ya Tottenham mechi ambayo inatarajiwa kufanyika nyumbani kwa Newport
Aidha Liverpool nayo imepangwa na West Bromwich Albion mechi itakayo pigwa kwenye dimba la Anfield, wakati Chelsea ambaye bado ana mchezo wa marudiano dhidi ya Norwich, anatarajiwa kukutana na Newcastle endapo atashinda mechi ya marudiano
Vinara wa msimamo wa Ligi Kuu Manchester City wao wana msubiri mmoja wapo kati ya Cardiff City au Mansfield Town, huku wababe wa Arsenal klabu ya Nottingham Forest watavaana na Hull City
 
Tetesi
Fellaini anataka kuondoka Man United


Marouane Fellaini amemwambia Jose Mourinho kwamba havutiwi kuendelea kubaki Manchester United, kwa mujibu wa Sun.
Kiungo huyo wa Kibelgiji, ambaye amekuwa akisumbuliwa na majeraha msimu huu, anamaliza mkataba wake majira ya joto.
Baada ya kukataa mkataba mpya mwezi Septemba amekataa kwa nguvu zote kushawishiwa na Mourinho kusaini mkataba mpya.
Duuh!!!! Hadi mkubwa fela analinga!!!!!! Bac hakuna timu hapa
 
Timu ya daraja la chini Yeovil Town imepangwa na Manchester United kwenye raundi ya 4 ya kombe la FA
Timu hiyo ambayo ipo daraja la pili ilifanikiwa kuiondoa klabu ya Bradford City kwa magoli 2-0 wikendi iliyopita na sasa watawakaribisha United kwenye uwanja wao wa nyumbani wa Huish Park mwishoni mwa mwezi huu
Pia klabu nyingine ya daraja la chini ya Newport Country, ambao waliwaondoa Leeds United nao watavaana dhidi ya Tottenham mechi ambayo inatarajiwa kufanyika nyumbani kwa Newport
Aidha Liverpool nayo imepangwa na West Bromwich Albion mechi itakayo pigwa kwenye dimba la Anfield, wakati Chelsea ambaye bado ana mchezo wa marudiano dhidi ya Norwich, anatarajiwa kukutana na Newcastle endapo atashinda mechi ya marudiano
Vinara wa msimamo wa Ligi Kuu Manchester City wao wana msubiri mmoja wapo kati ya Cardiff City au Mansfield Town, huku wababe wa Arsenal klabu ya Nottingham Forest watavaana na Hull City
Wababe wa nani?????? We unaumwa nn?????
 
Back
Top Bottom