Drone Camera
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,121
- 14,032
Sasa ww unatakaje????Kuwa makini sana na uandishi wako ohoo!!
Sasa ww unatakaje????Kuwa makini sana na uandishi wako ohoo!!
Ushasema De Gea # 20 bado tu hujaona madhara ya Europa League
Kigezo kikuu ni performance UCL
Ila mwakani kuna World Cup nayo ni kigezo kikubwa
Nfano Pogba abebe UCL msimu huu halafu WC afike fainali au achukue kabisa na kungara hapo anajibebea kiulaini
Ushasema De Gea # 20 bado tu hujaona madhara ya Europa League
Kigezo kikuu ni performance UCL
Ila mwakani kuna World Cup nayo ni kigezo kikubwa
Nfano Pogba abebe UCL msimu huu halafu WC afike fainali au achukue kabisa na kungara hapo anajibebea kiulaini
hahahaaKosa la Mourinho liko wapi?
Ye aliulizwa swali kwann siku hizi hashangilii (hana mzuka kama kipindi cha mwanzo) ye alijibu kwamba ye sio mjinga mjinga wa kuanza kuruka ruka kwenye touch line (hakumtaja mtu) sasa kale kavaa wigi bingwa wa kubeti kakajishitukia kakajifanya kumtukana jose, kalijua atakanyamazia.
Sisi MUFC hatujatoka tumempiga Derby 2:0, hapana chezea sisi.Unafikir tutatoka ka nyie....
Hatuendi uwanjani kutingisha nanihii
Naongelea carabao bAbAke...Sisi MUFC hatujatoka tumempiga Derby 2:0, hapana chezea sisi.
Mi nasemea man u ya carabao sasaMechi tunayozungumzia ambayo Arsenal amekuja NNE Jana ni FA baba siyo carabao.