Unajiona ulivyo mweupe kichwani nani kakwambia kuwa na contract ndio Sababu ya kutofukuzwa
David Moyes alikuwa na mkataba wa miaka kibao ila aliitumia miezi 10 tu kama kocha wa Manchester united. Nikuulize Van Gal aliondoka mkataba ukiwa umeisha???
Nikuulize tena Mourinho alivyofukuzwa Chelsea mkataba wake ulikuwa umeisha??? Nikuulize tena wiki kadhaa tumeshuhudia kocha Tonny Pulis wa West Bromwich na Slaven Belisic wa Westham wakitimuliwa , Je sababu ilikuwa ni mikataba ??? Vipi kuhusu Carlo ancelot na Bayern Munich??? Una mfahamu kocha wa simba sport club Joseph Omog ?
Jibu ni moja wote hao walifukuzwa wakiwa na miaka kadhaa kwenye mikataba yao. Unapaswa kujifunza security ya kocha ni team kupata mafanikio tu na sio kupewa miaka 30 kwenye mkataba.
Nimekuona huna hoja, legends wa Manchester especially class of 92 huwa hawana soni hata Mara moja Moyes, Van Gal na Leo mourinho wakizingua wanaambiwa.
Leo mashabiki wengi wa Manchester united wanalalamika team haichezi vizuri ila scholes alikuwa ameshaliona hili long time wakati wewe ukiwa uko kwenu kwenye vibanda umiza ukitemeana mate na wenzako
Paul Scholes believes Manchester United will NEVER play entertaining football under Jose Mourinho
Kama nilivyokwambia Legends wa Manchester united especially Paul Scholes huwa harembeshi Kama wewe unavyomtetea mourinho hata anapokosea, hapa Paul Scholes alimpa heko kwa usajili aliofanya
Paul Scholes hails Jose Mourinho's 'great signings' at Manchester United
Soma alichosema Legend mwingine baada ya vita vua maneno kati ya Paul scholes na Mourinho na sio wewe kuwa biased wakati huna lolote unalojua
Neville steps into Mourinho and Scholes row over Pogba | Daily Mail Online
GGMU