Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mashetani wenzangu vipi leo kimyaaaa?
Tuko pamoja hapa.
 
Naona leo Danny yupo fiti kinyama.....keshawainua mara mbili........
 
wadau wa UTD inakuaje??? mbona hampo??? mnaipenda Man Utd au EPL...???????
 
Talalila lah, nawaombea njaa 2 wandugu MAN U. Mkifungwa silali kwa shangwa, mkishinda kesho naomba ED cendi kazini kwa majonzi!
 
mashetani vp tena???? Ilikua 2-0 fasta mmeshapigwa 3-2?????????????????
 
Teh teh tehe tehe tehe, MAN U 2 -BSL 3 yaani fulu shangwe, leo km zitafika 200 mnakimbizwa tu!
 
Tabu apa nilipo nachek mech ya Man City, yaan ad nahisi uu mtandao wa tIGO internet unachakachua matokeo kwa seva zao ukoo...embu kuweni serious, ngapngap?
 
Bado la nne...refaaaaaaaa..ongeza dakika kumi...shen# aoooo!
 
This is wat we call 'knife edge survival'....pheeeeeeeeew! ngoja nkalale.
Mtembea bure (point moja)..si sawa na mkaa bure (noise neighbours).
 
article-2042530-0E1DB92500000578-901_634x286.jpg


khe khe khe khe khe eeeeeeeeeeeeeeeeeee
masikia ponea tundu la sindano khe khe kheeeeeeeeeeee
One man team ya mashoga khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Vidic yuko wapi?....huyu Rio kapungua sana kiwango aisee..........hata Evra naye kaanza kupungua kiwango....siku hizi anapitwa pitwa tu........
 
Vidic yuko wapi?....huyu Rio kapungua sana kiwango aisee..........hata Evra naye kaanza kupungua kiwango....siku hizi anapitwa pitwa tu........

Wacha kulialia mkuu, ndio timu yenu hiyo ya mashoga khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Vidic yuko wapi?....huyu Rio kapungua sana kiwango aisee..........hata Evra naye kaanza kupungua kiwango....siku hizi anapitwa pitwa tu........
Kivumacho?......................
 
Mfarisayo baada ya tumbo la kuhara amepoteza password khe khe khe he khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee mod amsaidie aingie na free ride ... ..... ... Ngongo ati anasema Arusha hakuna umeme. Na yule mod wao nachikia kapata mfadhaiko ... .... ... hajaonekana chacha siku ya nne O ooooops tangu Stoke walipofanya vitu vyao.

article-2042530-0E1E466A00000578-985_306x117.jpg






article-2042530-0E1DCAD500000578-603_634x419.jpg






spalsh-fergie_1382915a.jpg







Khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Back
Top Bottom