radika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 20,450
- 32,290
Ngumu sana arsenal kufika pale ni sawa na maji kupanda mlima labda mashabiki wote wa arsenal duniani mumlilie Mungu mfunge mwez bil kulaSío lazima tukwambie tunatakA position yako ni kujiongeza tu
Tushakupigia Alarm utajiadd
Matokeo yako ya sasa tunayajua,we are just waiting, time will tell
Arsenal mwenyewe ana matokeo gan unashinda na crystal palace unadunguliwa mech ijayo au suluh