Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 348,107
- 1,249,096
Tetesi
MAN UTD YAMWONGEZA KLUIVERT KWENYE ORODHA
Manchester United wamemwingiza Justin Kluivert kwenye orodha ya wachezaji wanaotaka kuwasajili dirisha la uhamisho wa Januari, kwa mujibu wa Yahoo Sport .
Kinda huyo wa miaka 18 mtoto wa gwiji la Kidachi Patrick amebakiwa na miezi 18 kwenye mkataba wake, lakini Thomas Lemar, Malcom na Christian Pulisic pia wameingia kwenye rada kwani Jose Mourinho anataka kusajili winga mpya kwenye kikosi chake.
MAN UTD YAMWONGEZA KLUIVERT KWENYE ORODHA
Manchester United wamemwingiza Justin Kluivert kwenye orodha ya wachezaji wanaotaka kuwasajili dirisha la uhamisho wa Januari, kwa mujibu wa Yahoo Sport .
Kinda huyo wa miaka 18 mtoto wa gwiji la Kidachi Patrick amebakiwa na miezi 18 kwenye mkataba wake, lakini Thomas Lemar, Malcom na Christian Pulisic pia wameingia kwenye rada kwani Jose Mourinho anataka kusajili winga mpya kwenye kikosi chake.