CalvinPower
JF-Expert Member
- Nov 25, 2008
- 1,571
- 883
Wamesawazisha na sio wamefungaHukuona Bunley walivyokuwa wanapoteza muda hadi wawili wakapewa kadi?
Hukuona head injury wachezaji wawili?
Hukuona substitution ngapi zimefanyika?
Btw Man Utd wamefunga dk ya 90.
Vilevile muda wa substitution huwa hauongezwagi kwenye mda wa majeruhi
Dakika 5 waliongeza kuipanafasi kubwa Mau kusawazisha na kushinda game maana walikuwa na moto dakika za mwisho