radika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 20,450
- 32,290
Hahah hizi hasira sasa anabebaje makombe?ni lini man u ilicheza mpira mzuri si zote ndio huo huo wa hovyo
Hahah hizi hasira sasa anabebaje makombe?ni lini man u ilicheza mpira mzuri si zote ndio huo huo wa hovyo
Mi jana kocha wangu sikumuelewa kabisa yani madogo walifanya presing ya hali ya juu mno sikuona umuhimu wa ibra,martial na rashford kuendelea kuwepo uwanjani sema kwa kuwa kuna mech kubwa mbele ilibid tuvumilie tuMourinho bwana, hata kwa statistics hizi bado anasema hao vijana wa mchangani walikuwa na bahati sana na Man U hawakuwa na bahati tu. Mwalimu wetu asipende kutafuta huruma kwetu mashabiki. Kama timu haiko vema aseme tu, siyo anakosoa wachezaji na hapo hapo anasema wapinzani walikuwa na bahati sana.
makombe yaliondoka na fagason....sasa hivi man u ni debe tupuHahah hizi hasira sasa anabebaje makombe?
Tupo kwenye mpira mbovu ambao siku zote wanacheza vibaya nimekuuliza makombe wanachukuaje unakimbilia ferguson sasa huo mpira mbaya ni wawap?makombe yaliondoka na fagason....sasa hivi man u ni debe tupu
Too much wisdom will kill you Mr.Arsenal na liverpool?
Hahahhahhhaha haya banaToo much wisdom will kill you Mr.
Poleni sana fans wa Man u wote huo ndio mpira prondo na radika
Ila nasikia mlikuwa mnamkimbia man city
Ndugu unaumia sananaomba mou atuachie timu yetu apewe hata gigs au yule sadam hussen wetu
vibaya mno tumekuwa na timu ya uoga sanaNdugu unaumia sana
mkuu huu usemi hadi lini?Forget the past, remember the lesson
Sijui mnashindwa kunielewa lakini..... Hapa sipo kufurahisha mtu, hapa naongea ukweli tu na kukubali kuwa upepo umebadilika. ni Style ya uchezaji wetu ndio inawapa imani ya KUWEZA KUTUFUNGA. KUAMINI KUWA WANAWEZA, KUAMINI, KUAMINI, KUAMINI INAWEZA IKAWA KWELI AU SI KWELI... LAKINI KUAMINI, KUNA WATU WANAAMINI KUWA WAGANGA WANAWASAIDIA ILA SIKWELI BALI NDIO WANAOWATIA MATATIZONI NA PIA WANAONA MAFANIKIO AMBAYO WANAAMINI KUWA MUNGU KASHINDWA KUWAPA, KWA TIMU ZIKIJA KUCHEZA NA MU ZINAAMINI, ZINAAMINI, NASEMA TENA ZINAAMINI ZINA UWEZO WA KUCHOPOA POINT 3, ZIKIJA KUCHEZA NA MU WANAICHUKULIA KAMA TIMU NYENGINE TU KWA JINSI TUNAVOCHEZA, HATUNA TOFAUTI NA STYLE YA VIBONDE....mnabishana bure tu mourinho uwanja wa nyumbani kautendea haki huwezi kwenda mechi 40 bila kufungwa halafu ukatumbia kuna timu inakuja kuwaza kiurahisi kuondoka na point 3 old trafford utakuwa unatudanganya na kuwafurahisha ant united hata kama city kafungwa goli 7 ni mkali nyumban kwake united goli 3 nani kafanya vizur hapo ingekuwa kitakwimu?
Watukuwa ni wabeba vyumaHIVI HII NI TIMU AMA GENGE LA WAHUNI??