Hii mechi kama una moyo mwepesi huangalii....njaa, Bp sukari......![]()
![]()
mkuu kweli aisee.Acha afie humo humo uwanjani, kwa mpira tuliokua tunacheza wakati hayupo bora abaki humo humo

Shughuli ilishaanza tangu kipindi cha kwanza mkuuKona zimekuwa nyingi sana hawa wakipata bao moja shughuli inaanza upya
Come down bruv..:Unatangulia 2 ndani ya dakika 15 baada ya kuwaambia 2wapge la 3 tuuwe game unarizika unapaki bus