Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Jose Mourinho states his prediction for Watford v Man United
Jose Mourinho has admitted that Manchester United will have their work cut out in trying to beat Watford in the Premier League at Vicarage Road on Tuesday night.
The Red Devils head into the game looking to build on their 1-0 victory over Brighton and Hove Albion at Old Trafford in the Premier League on Saturday afternoon.

Mourinho’s men are currently second in the Premier League table and aiming to keep themselves in the race for the title this season.

Manchester United are eight points behind the leaders Manchester City and will be keen to keep themselves in the title race before they welcome the Citizens to Old Trafford in a crunch derby clash on 10 December.

But Watford is Manchester United’s most pressing priority, and Mourinho admits that his team have some serious work to do to earn the three points in Vicarage Road
 
Marouane Fellaini OUT of Man Utd clash at Watford
Marouane-Fellaini-663167.jpg


Huyu jamaa simsemi vibaya Kwa Vile Mimi ni Mmoja Katika Fan wake Wakubwa since yupo Everton! Lakini Kiukweli Kakalia Kuti Kavu Hapo OT....

Hatma Yake ipo hatarini huenda next summer akafungasha..
 
Huyu jamaa simsemi vibaya Kwa Vile Mimi ni Mmoja Katika Fan wake Wakubwa since yupo Everton! Lakini Kiukweli Kakalia Kuti Kavu Hapo OT....

Hatma Yake ipo hatarini huenda next summer akafungasha..
He ll be out of contract summer nxt year,and he has a contract on table to ink at ila bado ajishauri........
 
Best wishes Chama letu,,
Mechi ya mhimu sana hii,,
Almighty GOD Be by Our Side
[HASHTAG]#GGMU[/HASHTAG]
 
Sawa Mou ni kocha wetu ......

Lakini ule ukweli anatakiwa kuacha dharau na kejeri kwa Mata....!! Hivi Lingard anaanza vp mbele ya Mata? Hata kwa jicho la kawaida Mou anataka kumdanganya nani kwamba Lingard yuko vizuri kulinganisha na Mata??.... dharau....!!

Sawa Rojo umeshaamua acheze kushoto (back).... huyo Young anafanya nini kwenye kiungo Kwanini usimpe nafasi Herrera??

Any away yeye ndiye anayaejua zaidi na Hapangiwi.... ila inakera

GGMU GGMU GGMU GGMU
 
Ile centre back ya smalling na lindelof huwa inachomesha sana. Mou aache kudharau team kama hizi kwa kupanga kikos cha ajab
 
Sawa Mou ni kocha wetu ......

Lakini ule ukweli anatakiwa kuacha dharau na kejeri kwa Mata....!! Hivi Lingard anaanza vp mbele ya Mata? Hata kwa jicho la kawaida Mou anataka kumdanganya nani kwamba Lingard yuko vizuri kulinganisha na Mata??.... dharau....!!

Sawa Rojo umeshaamua acheze kushoto (back).... huyo Young anafanya nini kwenye kiungo Kwanini usimpe nafasi Herrera??

Any away yeye ndiye anayaejua zaidi na Hapangiwi.... ila inakera

GGMU GGMU GGMU GGMU

Mkuu kwa Lingard nakubaliana na wewe kabisa, mimi huwa naona ni mchezaji wa sub na hasa pale timu inapokuwa inaongoza comfortably kabisa.

Ila hapo kwa Young, naomba nitofautiane na wewe, pembeni kule tunamuhitaji Young zaidi ya Herrera anavyohitaji kucheza.
 
Mkuu kwa Lingard nakubaliana na wewe kabisa, mimi huwa naona ni mchezaji wa sub na hasa pale timu inapokuwa inaongoza comfortably kabisa.

Ila hapo kwa Young, naomba nitofautiane na wewe, pembeni kule tunamuhitaji Young zaidi ya Herrera anavyohitaji kucheza.
Mkuu sawasawa......

Shida ni kwamba Young haingii mchezoni kwa malengo unayodhania mkuu wangu. huyo yupo kuongeza nguvu ya mabeki pale nyuma. Mou mpaka leo licha ya kwamba anawachezesha pamoja Lindelof na Smalling.... lakini hawaamini hata kidogo pale kati..!! Ndiyo maana ya uwepo wa Young kwenye Mechi hii.

So mechi ya leo tegemea mashambulizi ya kushitukiza na ninatabiri mechi mbovu kuliko ile iliyopita na kama tukipata ushindi basi ni wa mbili kwa moja au moja zero..!!
 
Sawa Mou ni kocha wetu ......

Lakini ule ukweli anatakiwa kuacha dharau na kejeri kwa Mata....!! Hivi Lingard anaanza vp mbele ya Mata? Hata kwa jicho la kawaida Mou anataka kumdanganya nani kwamba Lingard yuko vizuri kulinganisha na Mata??.... dharau....!!

Sawa Rojo umeshaamua acheze kushoto (back).... huyo Young anafanya nini kwenye kiungo Kwanini usimpe nafasi Herrera??

Any away yeye ndiye anayaejua zaidi na Hapangiwi.... ila inakera

GGMU GGMU GGMU GGMU
Mata ni fundi Lingard ni mpiganaji. Away games kama hizi hazihitaji ufundi bali fighting spirit.
 
Sawa Mou ni kocha wetu ......

Lakini ule ukweli anatakiwa kuacha dharau na kejeri kwa Mata....!! Hivi Lingard anaanza vp mbele ya Mata? Hata kwa jicho la kawaida Mou anataka kumdanganya nani kwamba Lingard yuko vizuri kulinganisha na Mata??.... dharau....!!

Sawa Rojo umeshaamua acheze kushoto (back).... huyo Young anafanya nini kwenye kiungo Kwanini usimpe nafasi Herrera??

Any away yeye ndiye anayaejua zaidi na Hapangiwi.... ila inakera

GGMU GGMU GGMU GGMU
Mkuu samahani kwa kukunukuu,,

Mimi sio mchambuzi wa mpira,, ila hii game ni ngumu sana na Josee analifahamu hilo,,,
Mfumo anaoanza nao ni 3-4-2-1 Young na Valencia wanasimama kwenda na kurudi,, lengo kuu ni kutoa krosi zifanyiwe kazi,, Lingard atakuepo kupambana zaidi ili Juan si mpambanaji as Jesse...

Finally kwa system na falsafa ya Josee Mata hana maisha sana OT.. Na ili aupige hasa, basi wawepo watu kadhaa wa kumpunguzia mzigo.. Even Leo bila uwepo wa kna Sergio,, Maestro Xavi,, Lujan Iniesta,, Pedro,, Henry,, baadae Villa na kna Fab huenda historia ingekua tofauti kidogo...

Hata Pogba wa Juve hajaonekana kwetu,, Mata wa Chel hajaonekana kwetu,, kwa nn?? Timu haina wachezaji wengi wa kiwango cha dunia,,,,....

#GGMU#
 
Back
Top Bottom