skysports-romelu-lukaku-manchester-united-watford_4169092.jpg

The Belgian is currently without a boot sponsor, and appeared to colour over the Nike tick on his all-black boots on Tuesday, something Mourinho jokingly referred to after the game.
Tafsiri yake inakuwa ni nini hasa...ni kwamba hauziki mpka akose mdhamini au wakala wake kashindwa kutafta mdhamini ? Je club haina mkataba mfano labda na adidas iwapo itatokea kwa swala kama ilapo liwe linakuwa covered na mdhamini ,kama anatengeneza izo bidhaa pia ?
 
Tafsiri yake inakuwa ni nini hasa...ni kwamba hauziki mpka akose mdhamini au wakala wake kashindwa kutafta mdhamini ? Je club haina mkataba mfano labda na adidas iwapo itatokea kwa swala kama ilapo liwe linakuwa covered na mdhamini ,kama anatengeneza izo bidhaa pia ?
Club huwa haziwabani wachezaji kwenye viatu, kila mchezaji yuko huru kuchagua kiatu chake alipwe yeye. Hapo inabidi agent akuuze kwa kampuni za viatu.
 
Meneja wa klabu ya Manchester United, Jose Mourinho ameeleza namna alivyochanganyikiwa na mpira wa adhabu “free-kick” uliyoenda kupigwa na winga wake, Ashley Young katika mchezo wao wa hapo jana usiku dhidi ya Watford.

Mourinho alishtushwa kwa kitendo cha winga huyo kupiga mpira huo uliyokuwa umbali wa mita 30 ilihali si miongoni mwa wachezaji wazuri waliyopangwa kupiga mipira ya haina hiyo.

Wakati wa kwenda kupigwa kwa mpira huo meneja huyo wa United alionekana kuchanganyikiwa kupitia kamera zilizokuwa zikionyesha mchezo huo.

“Nilishitushwa na kitendo cha Paul kumpatia nafasi ile ya kupiga mpira.” Amesema Mourinho.

“Sikushangazwa na shuti lake bali kupata ile nafasi ya kupiga mpira hakika yupo vizuri na kiwango chake kinaridhisha katika mazoezi kwahio tunafahamu ataendelea kufunga lakini Paul pia amefanya vizuri.”

Wakati huo huo Mourinho ameelezea sababu ya Lukaku kuvalia kiatu cheusi katika mchezo.

Lukaku amevalia kiatu cheusi jana katika mchezo wetu dhidi ya Watford nafikiri anahitaji kupata mdhamini mwingine wa kiatu chake kwakuwa aliyekuwa nae mwanzo wamemaliza mkataba nahiyo ndiyo sababu.”

Katika mchezo wa hapo jana usiku Manchester United imechomoza na ushindi wa mabao 4- 2 dhidi ugenini dhidi ya Watford huku winga ambaye ahkupewa nafasi kubwa ya kufunga Ashley Young akitupia mawili kati ya hayo.
 
Meneja wa klabu ya Manchester United, Jose Mourinho ameeleza namna alivyochanganyikiwa na mpira wa adhabu “free-kick” uliyoenda kupigwa na winga wake, Ashley Young katika mchezo wao wa hapo jana usiku dhidi ya Watford.

Mourinho alishtushwa kwa kitendo cha winga huyo kupiga mpira huo uliyokuwa umbali wa mita 30 ilihali si miongoni mwa wachezaji wazuri waliyopangwa kupiga mipira ya haina hiyo.

Wakati wa kwenda kupigwa kwa mpira huo meneja huyo wa United alionekana kuchanganyikiwa kupitia kamera zilizokuwa zikionyesha mchezo huo.

“Nilishitushwa na kitendo cha Paul kumpatia nafasi ile ya kupiga mpira.” Amesema Mourinho.

“Sikushangazwa na shuti lake bali kupata ile nafasi ya kupiga mpira hakika yupo vizuri na kiwango chake kinaridhisha katika mazoezi kwahio tunafahamu ataendelea kufunga lakini Paul pia amefanya vizuri.”

Wakati huo huo Mourinho ameelezea sababu ya Lukaku kuvalia kiatu cheusi katika mchezo.

Lukaku amevalia kiatu cheusi jana katika mchezo wetu dhidi ya Watford nafikiri anahitaji kupata mdhamini mwingine wa kiatu chake kwakuwa aliyekuwa nae mwanzo wamemaliza mkataba nahiyo ndiyo sababu.”

Katika mchezo wa hapo jana usiku Manchester United imechomoza na ushindi wa mabao 4-1 dhidi ugenini dhidi ya Watford huku winga ambaye ahkupewa nafasi kubwa ya kufunga Ashley Young akitupia mawili kati ya hayo.
Tafadhari badilisha hiyo 4-1 iwe 4-2
 

Man City Jana Kafunga Goli la Pili Dakika Ya 95' .... Tayari analazimishwa Kuwa Bingwa... Akifanikiwa Msimu Huu, Basi Msimu ujao asubiri yamkute Ya Spurs...

Spurs Miongoni Mwa Sababu Za Kuboronga Msimu Huu, Ni Kwamba Msimu uliopita Hakuwa Na Benchi la kufanyia Rotation Wachezaji! Kwahiyo Kutokana na Kutokuwa na Depth ilimbidi Aforce Wachezaji Kucheza Kwa Kila Game, Hatimae Wameshachoka na Sasa Hawana tena uwezo wa Kupambana...

Na Man City Na Yeye Kwavile Gurdiola amefocus Ubingwa! Ameamua Kushusha Full Mziki kwa Kila Game bila ya Kubadili First XI yake...

Kwahiyo Wasipochoka Ndani ya Msimu Huu, Basi next seasons utakuwa ni Msimu mgumu kwake.

Dalili za hile kasi yake ya Goli 4 na 5 kupotea na kuishia Kuvizia ushindi dakika za Referee (95') zinaonesha wazi Kuwa Timu inaendea Kuchoka Kwa Wachezaji Kuto kupumzika.
 
Man City Jana Kafunga Goli la Oili Dakika Ya 95' .... Tayari analazimishwa Kuwa Bingwa... Akifanikiwa Msimu Huu, Basi Msimu ujao asubiri yamkute Ya Spurs...

Spurs Miongoni Mwa Sababu Za Kuboronga Msimu Huu, Ni Kwamba Msimu uliopita Hakuwa Na Benchi la kufanyia Rotation Wachezaji! Kwahiyo Kutokana na Kutokuwa na Depth ilimbidi Aforce Wachezaji Kucheza Kwa Kila Game, Hatimae Wameshachoka na Sasa Hawana tens uwezo wa Kupambana...

Na Man City Na Yeye Kwavile Gurdiola amefocus Ubingwa! Ameamua Kushisha Full Mziki kwa Kila Game bila ya Kibadili First XI yake...

Kwahiyo Wasipochoka Ndani ya Msimu Huu, Basis next seasons utakuwa ni Msimu mgumu kwake.

Dalili za hile kasi yake ya Goli 4 na 5 kupotea na kuishia Kuvizia ushindi dakika za Referee (95') zinaonesha wazi Kuwa Timu inaendea Kuchoka Kwa Wachezaji Kuto kupumzika.
Man city hizi mechi mbli za mwsh wameshinda kwa tabu sana pia hawana kikosi kipana kama man utd naamini man utd atachukua ubingwa huu msimu
 
Man City Jana Kafunga Goli la Oili Dakika Ya 95' .... Tayari analazimishwa Kuwa Bingwa... Akifanikiwa Msimu Huu, Basi Msimu ujao asubiri yamkute Ya Spurs...

Spurs Miongoni Mwa Sababu Za Kuboronga Msimu Huu, Ni Kwamba Msimu uliopita Hakuwa Na Benchi la kufanyia Rotation Wachezaji! Kwahiyo Kutokana na Kutokuwa na Depth ilimbidi Aforce Wachezaji Kucheza Kwa Kila Game, Hatimae Wameshachoka na Sasa Hawana tens uwezo wa Kupambana...

Na Man City Na Yeye Kwavile Gurdiola amefocus Ubingwa! Ameamua Kushisha Full Mziki kwa Kila Game bila ya Kibadili First XI yake...

Kwahiyo Wasipochoka Ndani ya Msimu Huu, Basis next seasons utakuwa ni Msimu mgumu kwake.

Dalili za hile kasi yake ya Goli 4 na 5 kupotea na kuishia Kuvizia ushindi dakika za Referee (95') zinaonesha wazi Kuwa Timu inaendea Kuchoka Kwa Wachezaji Kuto kupumzika.
Afu mkuu nilitaka kuuliza 4G ya magoli ya city mbona siku hizi imepungua sana saivi wakishinda wanashinda kwa goli chache sana sio kama awali
 
Imeripotiwa kuwa Zlatan Ibrahimovic anaweza kusaini mkataba mpya utakaombakisha Manchester United hadi 2019
Mkongwe huyo wa miaka 36 alitua Old Trafford mwaka 2016 kwa mkataba wa mwaka mmoja lakini akipewa fursa ya kuongeza miezi 12 zaidi, lakini United waliamua kutompa mkataba mpya baada ya kupata majeraha Aprili.

Raia huyo wa Sweden alipona haraka zaidi ya ilivyotarajiwa na akapewa fursa ya kusaini mkataba mpya wa mwaka mmoja United mwezi Agosti kabla ya kurejea dimbani mapema mwezi huu.
Kwa mujibu wa The Sun, Ibrahimovic alipanga kudumu na Mourinho msimu mmoja kabla ya kutimkia MLS kumalizia soka lake, lakini sasa ameanza mazungumzo tena na meneja huyo kuangalia uwezekano wa kubaki zaidi.
Gazeti hilo limedai kuwa mchezaji huyo "anatambua kuwa amekosa kucheza kwa muda mrefu" na "pia shauku yake kubwa ni kutwaa taji Ligi Kuu Uingereza" kabla ya kustaafu, wakati Mourinho amesisitiza awali kuwa Ibrahimovic anaweza kucheza hadi atakapotimiza umri wa miaka 40.
Ibrahimovic amecheza mechi nne United tangu arejee mzigoni, mechi zote akianzia benchi.
 
Club huwa haziwabani wachezaji kwenye viatu, kila mchezaji yuko huru kuchagua kiatu chake alipwe yeye. Hapo inabidi agent akuuze kwa kampuni za viatu.
Kiatu siyo part ya jezi.....
Wachezaji wanakuwa na wadhamini wao binafsi wa viatu..........
 
Back
Top Bottom