Tafsiri yake inakuwa ni nini hasa...ni kwamba hauziki mpka akose mdhamini au wakala wake kashindwa kutafta mdhamini ? Je club haina mkataba mfano labda na adidas iwapo itatokea kwa swala kama ilapo liwe linakuwa covered na mdhamini ,kama anatengeneza izo bidhaa pia ?
The Belgian is currently without a boot sponsor, and appeared to colour over the Nike tick on his all-black boots on Tuesday, something Mourinho jokingly referred to after the game.