Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hii team Mou akiacha woga lkacheza kwa kushambulia zaidi kuliko kujilinda ingekuwa inapata goal nyingi sana
 
Sawa Mou ni kocha wetu ......

Lakini ule ukweli anatakiwa kuacha dharau na kejeri kwa Mata....!! Hivi Lingard anaanza vp mbele ya Mata? Hata kwa jicho la kawaida Mou anataka kumdanganya nani kwamba Lingard yuko vizuri kulinganisha na Mata??.... dharau....!!

Sawa Rojo umeshaamua acheze kushoto (back).... huyo Young anafanya nini kwenye kiungo Kwanini usimpe nafasi Herrera??

Any away yeye ndiye anayaejua zaidi na Hapangiwi.... ila inakera

GGMU GGMU GGMU GGMU
MKuu nakusubirii uje utupe mrejesho wa A.YOUNG na Lingard Mou amewaweka wa nn kwenye hii game.....
maana sahivi ni 33'
 
Nawaona nawaona...mnyonge kampata mnyonge wake!!!

fcf97a4f0f6f28659b9b5ab23ee6c674.jpg
 
Inabidi tujifunze kuangalia mpira tactically. Tusiangalie chenga na vitu kama hivyo. Leo Lingars anacheza free role number 10 na kwasababu hii anamfanya Martial awe free.
Ndio sababu Rashford yuko nje hawezi kucheza na Martial mmoja wao anapotea kabisa.
Lingard anacheza by the book kama unapenda chenga na visigino hawezi kukufurahisha.
 
Sawa Mou ni kocha wetu ......

Lakini ule ukweli anatakiwa kuacha dharau na kejeri kwa Mata....!! Hivi Lingard anaanza vp mbele ya Mata? Hata kwa jicho la kawaida Mou anataka kumdanganya nani kwamba Lingard yuko vizuri kulinganisha na Mata??.... dharau....!!

Sawa Rojo umeshaamua acheze kushoto (back).... huyo Young anafanya nini kwenye kiungo Kwanini usimpe nafasi Herrera??

Any away yeye ndiye anayaejua zaidi na Hapangiwi.... ila inakera

GGMU GGMU GGMU GGMU
Hopefully Magoli umeyashangilia na naamini sasa utakuwa Umefahamu kwanini Mou anamuanzisha Young.
 
Sawa Mou ni kocha wetu ......

Lakini ule ukweli anatakiwa kuacha dharau na kejeri kwa Mata....!! Hivi Lingard anaanza vp mbele ya Mata? Hata kwa jicho la kawaida Mou anataka kumdanganya nani kwamba Lingard yuko vizuri kulinganisha na Mata??.... dharau....!!

Sawa Rojo umeshaamua acheze kushoto (back).... huyo Young anafanya nini kwenye kiungo Kwanini usimpe nafasi Herrera??

Any away yeye ndiye anayaejua zaidi na Hapangiwi.... ila inakera

GGMU GGMU GGMU GGMU
Huyo Young ameshatupia mbili, la kwanza ikiwa ni matokeo ya assist ya Lingard. Mata nadhani kapumzishwa kwa big mechi zijazo.
 
Mkuu sawasawa......

Shida ni kwamba Young haingii mchezoni kwa malengo unayodhania mkuu wangu. huyo yupo kuongeza nguvu ya mabeki pale nyuma. Mou mpaka leo licha ya kwamba anawachezesha pamoja Lindelof na Smalling.... lakini hawaamini hata kidogo pale kati..!! Ndiyo maana ya uwepo wa Young kwenye Mechi hii.

So mechi ya leo tegemea mashambulizi ya kushitukiza na ninatabiri mechi mbovu kuliko ile iliyopita na kama tukipata ushindi basi ni wa mbili kwa moja au moja zero..!!
Mpaka HT, Watford nunge Man United 3.
 
Sawa Mou ni kocha wetu ......

Lakini ule ukweli anatakiwa kuacha dharau na kejeri kwa Mata....!! Hivi Lingard anaanza vp mbele ya Mata? Hata kwa jicho la kawaida Mou anataka kumdanganya nani kwamba Lingard yuko vizuri kulinganisha na Mata??.... dharau....!!

Sawa Rojo umeshaamua acheze kushoto (back).... huyo Young anafanya nini kwenye kiungo Kwanini usimpe nafasi Herrera??

Any away yeye ndiye anayaejua zaidi na Hapangiwi.... ila inakera

GGMU GGMU GGMU GGMU
Football Einstein
 
Back
Top Bottom