<br />Hahahah nimecheka sana baada ya kuisoma hii comment yako. Kuna group moja nilienda yani washabiki wa Arsenal wanalinganisha wachezaji yote kutaka kujiona wao ni zaidi ya Man Utd....Utasikia Rooney na RVP nani mkali.
Nilitaka tuwachape angalau 8 lol, ila a win is a win au sio.Ingependeza sana kama tungeshinda walau goli 6
hongereni wapinzani, naona mnatoa dozi....let's see what'll happen next weekend....got to watch US open now.
8 shots on goal 5 zimeingia... Wajameni bado tuko pre season USA au?Hizi statistics zimenifurahisha only 1 foul by utd in 90 min.?
Pamoja sana Mkulima..na nyie ongereni...