Tuna timu nzuri mkuu, sema mbinu za Mou kwenye big match zinaboa sana.. anajihami mno
Mbona kipindi cha kwanza tulicheza fresh na hata kuanzia dk ya 78.. Ila tulivyorudi kipindi cha pili sijui aliwaambia timu isishambulie maana timu nzima ilikua nyuma.
Anapaswa abadilike na aache uoga wake, angalia man city waleeee