Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mkuu malengo nn km co ubingwa ? Unavyojihami kwenye game kubwa ukapata point 1 badala ya 3 wakat city unaikimbizananea anasaka 3 kokote kule unategemea nn ? Lbd km malengo ya bodi ni kuwa kwenye top 4 !!!
Unakumbuka Chelsea alichukua nayo ubingwa..?? Mbna ilikuwa inapaki bus hadi mechi ndogo? Mourinho ana hesabu zake kichwani
City kaanza vizur lakin mambo yanabadilika itafika kipind ataanza kupteza hizo tatu na yeye mkuu.....
 
Mie nafikiri lukaku yuko poa na ile ndio style yake sema unamuona kapwaya kidogo ni kwasababu feeders hazikuwepo nyuma yake.

Kwa tathmini yangu mikh ndio katokota sana leo na ndio alikua kete ya ushindi toka first half.
Kiujumla tuna tatizo kubwa sana kwenye namba 10 kwa sasa

Mikhi amedrop sana kiwango hivi karibuni nilitegemea kutokuwepo kwa Pogba/Fellaini yeye ndio inabidi aibebe timu lakini ameshindwa.Kama umegundua recently Mourinho ameanza kumchezesha Lingard kama namba 10 licha ya kuwa sio creative mid ukilinganisha na Mata/Mikhi .Kama Pereira angebaki msimu huu angecheza sana na huenda angejihakikishia namba
 
Dinosaur =Arsene Wenger
 
rekodi imeendelea aiseeee pochetino hajawahi mfunga mou akiwa uwanja wa nyumbani
 
Yes aongeze kutupasha habari
 
Mkuu hizo "elite teams in europe" ndiyo zipi??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…