Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mkuu sisi hatulalamikii kila picha ila tunalalamikia picha anazorudia rudia kila mara ambazo hazina umuhimu wowote zaidi ya kuona tu wachezaji na hata kama ana malengo yake binafsi ya kupata anachojua yeye ajue tu kuna watu wengine wanalalamika ili apunguze na kuna watu wengi wanakereka ila wameshaongea hadi wakachoka nikiwemo mm.
Sipunguzi ila nina mpango wa kuchochea mafiga moto ukolee.

Picha za muhimu kwako kwangu ni.majitaka na kinyume chake

Lini utaanza kacha kulalama na kudondosha nondo?
 
85ec5a24eddb546d80e6ecf361ec8622.jpg
Nategemea mechi kuwa nzuri.
 
huwa najiuliza mpaka kesho ni nini kilitokea mpaka kumtema di maria
Kiwango kilishuka baada ya wezi kumtokea kwake akapoteza mwelekeo ingawaje alianza vizuri.

Pili hakupenda khali ya hewa hasa mvua na baridi

Tatu mkewe alimsisitizia wahame hakuwa na imani na usalama wao

Mbaya zaidi aligoma kurudi na kushinikiza auzwe

Na alipouzwa akamlaumu Van Gaal kwa kumpanga namba isiyo yake na Luis alijibu mapigo kwa kudai ni vyema akajipima
 
Sipunguzi ila nina mpango wa kuchochea mafiga moto ukolee.

Picha za muhimu kwako kwangu ni.majitaka na kinyume chake

Lini utaanza kacha kulalama na kudondosha nondo?
Na wangejaribu kuchanganua picha za muhimu zipi na zisizo za muhimu zipi maana wasije wakawa wanakaka upost za sanchoka maana wabongo wanapenda chura kama nn
 
Herrera hawaendani na matic ndomana tangu aumie fellaini magoli ya mekuwa machache
Tatizo siyo mtu ila kiwango kimeshuka pasi nyingi zinapotea na mikwaju langoni hakuna

Tulipocheza na Liverpool ni mkwaju mmoja tu dhidi ya Liverpool sasa ni midfield au timu nzima safari UEFA zimewachoshwa na kushusha kiwango
 
Tatizo siyo mtu ila kiwango kimeshuka pasi nyingi zinapotea na mikwaju langoni hakuna

Tulipocheza na Liverpool ni mkwaju mmoja tu dhidi ya Liverpool sasa ni midfield au timu nzima safari UEFA zimewachoshwa na kushusha kiwango
tatizo sio timu mbona pogba na fellaini wakicheza mpira unaenda mbele why herrere usiebde kunatatizo
 
Back
Top Bottom