mkurya org.
JF-Expert Member
- Sep 25, 2014
- 1,571
- 1,696
Mkuu sisi hatulalamikii kila picha ila tunalalamikia picha anazorudia rudia kila mara ambazo hazina umuhimu wowote zaidi ya kuona tu wachezaji na hata kama ana malengo yake binafsi ya kupata anachojua yeye ajue tu kuna watu wengine wanalalamika ili apunguze na kuna watu wengi wanakereka ila wameshaongea hadi wakachoka nikiwemo mm.Nafahamu JF ni jukwaa huru binafsi sipendi hizo picha anazopost na sijawahi kumzuia kupost.JF kwa kuzingatia hayo waliweka option ya ku-ignore post za mtu,ukiweza kuitumia hiyo vizuri sidhani kama utalalamika kuhusu post za mtu hapa,its the best option,nimejaribu kumuelekeza huyo anayelalamika kuhusu hizo picha