Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Nafahamu JF ni jukwaa huru binafsi sipendi hizo picha anazopost na sijawahi kumzuia kupost.JF kwa kuzingatia hayo waliweka option ya ku-ignore post za mtu,ukiweza kuitumia hiyo vizuri sidhani kama utalalamika kuhusu post za mtu hapa,its the best option,nimejaribu kumuelekeza huyo anayelalamika kuhusu hizo picha
Mkuu sisi hatulalamikii kila picha ila tunalalamikia picha anazorudia rudia kila mara ambazo hazina umuhimu wowote zaidi ya kuona tu wachezaji na hata kama ana malengo yake binafsi ya kupata anachojua yeye ajue tu kuna watu wengine wanalalamika ili apunguze na kuna watu wengi wanakereka ila wameshaongea hadi wakachoka nikiwemo mm.
 
Mkuu sisi hatulalamikii kila picha ila tunalalamikia picha anazorudia rudia kila mara ambazo hazina umuhimu wowote zaidi ya kuona tu wachezaji na hata kama ana malengo yake binafsi ya kupata anachojua yeye ajue tu kuna watu wengine wanalalamika ili apunguze na kuna watu wengi wanakereka ila wameshaongea hadi wakachoka nikiwemo mm.
Umeongea point mkuu
Mimi nishamweka IGNORE LIST yule mtu baada ya kuelekezwa now siyaoni mapicha yake na sitegemei kumuongelea tena
 
Umeongea point mkuu
Mimi nishamweka IGNORE LIST yule mtu baada ya kuelekezwa now siyaoni mapicha yake na sitegemei kumuongelea tena
Jamaa kuna anachokitafuta sio bure haiwezekani watu wapige kelele kiasi hicho ila bado yupo tu analeta hizo pichapicha zake humu sisi humu hatuhitaji kila picha ila tunahitaji picha muhimu tu najua anaelewa tunavyosema hivyo ila bado haelewi
 
Huu mchezo wa leo hapana, sitarajii kuuangalia kabisa, nitakuja kuangalia matokea baada ya dk 90
 
Jamaa kuna anachokitafuta sio bure haiwezekani watu wapige kelele kiasi hicho ila bado yupo tu analeta hizo pichapicha zake humu sisi humu hatuhitaji kila picha ila tunahitaji picha muhimu tu najua anaelewa tunavyosema hivyo ila bado haelewi
1509183267379.jpg
 
Nakapanya Belo ni lazima mtambue hili ni jukwaa huru, na yeye ana uhuru wa kutuma anachoona kinafaa bila kuvunja sheria!! so far kwa mwaka huu sijaona member ambaye ni active kama ruta anayepost picha humu na hata kipindi ligi haijaanza yeye ndiye amekua akiweka huu uzi active!!

Unaposema wewe hupendi jua wenzako tunazipenda! Tuache kuingilia uhuru wa watu humu jukwaani as long as hamna anayevunja sheria!!
Waaelimishe na leo watakiona cha mtema kuni. Nitabandika mipicha hadi waelewe mini maana ya public site.
 
Nafahamu JF ni jukwaa huru binafsi sipendi hizo picha anazopost na sijawahi kumzuia kupost.JF kwa kuzingatia hayo waliweka option ya ku-ignore post za mtu,ukiweza kuitumia hiyo vizuri sidhani kama utalalamika kuhusu post za mtu hapa,its the best option,nimejaribu kumuelekeza huyo anayelalamika kuhusu hizo picha
Leo ni leo msema kesho mwongo
 
Back
Top Bottom