Mkuu mnamuonea sana huyu jamaa kipind cha van gal alisimama yeye na blind walifanya vizur sana pia kama sikosei alijitoa mhanga kumdaka miguu kati ya panchion au bolazie wa crystal palace fainal ya Fa alikuwa anenda kutufunga smalling alikula umeme ila ndoo tulibeba lile goli lingefungwa mchezo ulikuwa unaisha.