BilioneaPATIGOO
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 12,320
- 11,341
Man city ni viherehere
Chelsea wananiangusha
Chelsea wananiangusha
This is the best perfomance i've seen so far in EPL, Man City are fabulous-Jim BeagleyMkuu, wako vizuri lakini timu yetu inabadilika kutokana na mchezo, tutawamudu vizuri tu
Hahaaaaa......Bahati mbaya mkuu
Ubora wa haya majamaa ni kwamba wakipata nafasi lazima watupie goli.. Hawapotezi nafasi hata kidogo.This is the best perfomance i've seen so far in EPL, Man City are fabulous-Jim Beagley
Nakubaliana nae.
Kwenda kumbana Chelsea kwake si mchezo.Aiseee Man City wanacheza vizuri jamani.... Chelsea kabanwa kila mahali!!!
Man city kweli wanahitaji ubingwa msimu huu duuuhKwenda kumbana Chelsea kwake si mchezo.
We are heading to tough matches and that will determine where we stand in this league in toughnessMkuu, wako vizuri lakini timu yetu inabadilika kutokana na mchezo, tutawamudu vizuri tu
mazee leo najua mliomba tushinde ili muongoze lakini hatukufanikiwa. Tunashukuru sana kwa maombi yenu..



Guys..Man City wako vizuri.
Ubora wa haya majamaa ni kwamba wakipata nafasi lazima watupie goli.. Hawapotezi nafasi hata kidogo.
Pia wanacheza kwa kasi, hata kama unataka kulinda goli utajichanganya tu!
Ha ha ha haWakuu nasikia harufu ya 4G..na nyie pia mnaisikia au pua yangu haiko sawa![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()