Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Pana mambo nayafurahia sana Phil Jones kama sio yeye vile katulia anafanya hesabu zake vizuri. Lukaku pana nafasi huwa anakosa mpaka unashangaa pale vipi? ajinoe zaidi katika hilo pana siku tutapata nafasi moja tu. Herera fundi zile pasi mpenyezo alipoingia zimeonekana ana umuhimu mkubwa kwetu khasa kipindi hiki Pogba hayupo. Kiujumla vijana wanatupa furaha.
Kuhusu Phil Jones nafikiri Mourinho ana Medical Team nzuri. Mara nyingine mchezaji anaoneka kuumia mara kwa mara ni kwa sababu ya poor management ya injuries.
 
Pana mambo nayafurahia sana Phil Jones kama sio yeye vile katulia anafanya hesabu zake vizuri. Lukaku pana nafasi huwa anakosa mpaka unashangaa pale vipi? ajinoe zaidi katika hilo pana siku tutapata nafasi moja tu. Herera fundi zile pasi mpenyezo alipoingia zimeonekana ana umuhimu mkubwa kwetu khasa kipindi hiki Pogba hayupo. Kiujumla vijana wanatupa furaha.
Natamani Mou afanye awezalo Herrera awe anaanza.
 
Jana na Leo mkuu.
Yaani Man U tunaboa kila siku tuu lukaku lazima atupiamo.
Fanya kunipa ile table mkuu nione tupo wapi
da267c8985f4fffc22f72cf3a7531b7f.jpg
 
Back
Top Bottom