Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hakuna cha ujuaji wala nini ...makocha wote duniani hawapo perfect 100%....ndio sababu hawachukui ubingwa kila msimu.

Kiukweli pamoja na mazuri yake yote,mourinho anazingua kwa Martial...

Mata sio yule tena,hatakiwi kuanza mbele ya Martial au Rashford.

Toka ligi ianze sijaona jipya lolote kutoka kwake,zaidi ya kutucheleweshea ushindi tu.
MATA anaonekana amelose confidence labda leo atafunga goli muhimu
 
Kwa wale wenye Azam TV, nenda other channels kisha tafuta channel namba 1205 RTS1 wanarusha mechi hii ya Man Utd vs Crystal Palace

Hadi sasa Man Utd 1-0
 
Back
Top Bottom