Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Felaini ashawatuliza madogo, wamejifanya kimbelembele mno
 
Leo kuna tatizo pale nyuma ya Lukaku, Lukaku akiwa kwenye position nzuri hapewi mpira. Tunaweza kuvuka NNE (4G) yetu, kama Makosa hayo yatarekebishwa.
 
Hakuna cha ujuaji wala nini ...makocha wote duniani hawapo perfect 100%....ndio sababu hawachukui ubingwa kila msimu.

Kiukweli pamoja na mazuri yake yote,mourinho anazingua kwa Martial...

Mata sio yule tena,hatakiwi kuanza mbele ya Martial au Rashford.

Toka ligi ianze sijaona jipya lolote kutoka kwake,zaidi ya kutucheleweshea ushindi tu.

Mata ni technician anacheza sio sehemu yake achana nae kabisa mkuu
 
Hakuna cha ujuaji wala nini ...makocha wote duniani hawapo perfect 100%....ndio sababu hawachukui ubingwa kila msimu.

Kiukweli pamoja na mazuri yake yote,mourinho anazingua kwa Martial...

Mata sio yule tena,hatakiwi kuanza mbele ya Martial au Rashford.

Toka ligi ianze sijaona jipya lolote kutoka kwake,zaidi ya kutucheleweshea ushindi tu.
Mkuu mata huyo kakutoa povu
 
Leo kuna tatizo pale nyuma ya Lukaku, Lukaku akiwa kwenye position nzuri hapewi mpira. Tunaweza kuvuka NNE (4G) yetu, kama Makosa hayo yatarekebishwa.
Tatizo Fellain na Matic wote wanacheza km defensive midfielders. Timu inakosa play maker. Hilo ni tatizo toka game ya Saints Mary's.

Mike, Mata na Rash wanapokea mipira ya kugombania isiyokokotolewa ili kum-supply Lukaku
 
Back
Top Bottom