Mechi iliopita alitoa assist ya goli la ushindiAssist safi kabisa kutoka kwa Young
Hakuna cha ujuaji wala nini ...makocha wote duniani hawapo perfect 100%....ndio sababu hawachukui ubingwa kila msimu.
Kiukweli pamoja na mazuri yake yote,mourinho anazingua kwa Martial...
Mata sio yule tena,hatakiwi kuanza mbele ya Martial au Rashford.
Toka ligi ianze sijaona jipya lolote kutoka kwake,zaidi ya kutucheleweshea ushindi tu.
Mkuu mata huyo kakutoa povuHakuna cha ujuaji wala nini ...makocha wote duniani hawapo perfect 100%....ndio sababu hawachukui ubingwa kila msimu.
Kiukweli pamoja na mazuri yake yote,mourinho anazingua kwa Martial...
Mata sio yule tena,hatakiwi kuanza mbele ya Martial au Rashford.
Toka ligi ianze sijaona jipya lolote kutoka kwake,zaidi ya kutucheleweshea ushindi tu.

Acha roho mbaya, wafikirie washabiki wao...dah leo iwe 6G jamani. GGMU!
aahaa has ahh!Acha roho mbaya, wafikirie washabiki wao...
Tatizo Fellain na Matic wote wanacheza km defensive midfielders. Timu inakosa play maker. Hilo ni tatizo toka game ya Saints Mary's.Leo kuna tatizo pale nyuma ya Lukaku, Lukaku akiwa kwenye position nzuri hapewi mpira. Tunaweza kuvuka NNE (4G) yetu, kama Makosa hayo yatarekebishwa.