Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

FB_IMG_1506114056480.jpg
 
Sina uhakika kama 4G itaendelea lakini uhakika wa ushindi upo kwa sababu Soton watakua na tamaa ya kutushambulia sana hivyo itafanya mechi iwe ya mashambulizi kotekote tofauti na mechi ya Stoke City.Kuhusu Rashford kucheza second striker nafikiri Mourinho alifanya kwenye pre-season na walicheza vizuri tu.

NB:Sipendi kabisa Rashford akicheza pembeni....ni mzuri akicheza kati kama striker.
Kwa mm ninavyoona bora acheze hvyo hvyo pembeni...coz tunapata faida nyingi sana...rashford ana pes ya hatari kama ilivyo kwa martial hvyo huwachosha mabeki na kukimbilia kucheza foul..nafikiri ndio sababu inayowafanya hawa jamaa yoyote atakaeingia sub lazima afunge....
 
Back
Top Bottom