Bloodstone
JF-Expert Member
- Feb 16, 2016
- 922
- 996
Mou anazingua nae sometimes na tactics zake... Martial , Herrera..wanaanziaje bench ?Pamoja na ushindi wa jana...binafsi bado sijaelewa Mourinho alitumia upeo upi kumuingiza Lingard ahead of Martial na baadae kumpatia Martial dakika 6 tu za kumalizia mchezo...ndio, Martial alibahatika kupata goli,lakini je ilikua sawa kumpatia nafasi finyu kiasi kile ukizingatia uwezo wake?
Sema blind mzuri sana kukabaIla naona young anataka kumuweka blind bench aisee maana anaupiga sanaaa...
Ww una akili kuzid yeye acha kimdomo domoMou anazingua nae sometimes na tactics zake... Martial , Herrera..wanaanziaje bench ?
Ww una akili kuzid yeye acha kimdomo domoMou anazingua nae sometimes na tactics zake... Martial , Herrera..wanaanziaje bench ?
Last season hata Mikhitaryan alikuwa anapigwa bench nafikiri unaona kwa nini msimu huu hapigwi benchi ,Mou anazingua nae sometimes na tactics zake... Martial , Herrera..wanaanziaje bench ?
Scholes...T Henry: “Fellaini is an honest player. He’s not going to be Paul Scholes, we know that. But he gives 100 per cent & he does ever so well.”
Naanzaje kubishana na mabingwa na wakati mimi ndio bingwa.?Naona unabishana na mabingwa
Asante mkuu
Msubiri anakuja. Utakunya weweBarnely kisa kakutoa makamasi?
Hahahaaaa.. Utasikia tu
Mara ya kwanza ilikua story gani.?Leo story imebadilika naona mnasogeza mech tu
Hahahaaa.. Mkuu umenichekesha sana. Eti jahazi asilia
- aigoooo kumbe hawa jahazi asilia (liverpool) goal difference wana 0.
- nashindwa kuelewa kwa nini juan mata anapokuwepo uwanjani anacheza mpira mkubwa kuliko mkhitaryan lakini mata anapotolewa henrikh mkhitaryan anatengeneza nafasi za magoli na kufunga.
Huyo bwege alikuweka 4-0 darajani.Swali hili kalijibu kipindi kile wakat yupo kwa mabwege Chelsea kumbuka drogba alinyang'anywa mpira na lampard wakat ye alikuwa anataka ufungaji bora na kwa hasira lampard akaweka penalty moja ya kibabe mno
Bado nne bila majibu tumejikita kileleni na hao city wanamsindikiza bwana harusiNaona majirani wamejipigia za kutosha, kesho tunatakiwa kushinda goli 5+ hili turudi pale juu.
UshajisaulishaMara ya kwanza ilikua story gani.?
Daaa lukaku siyo clinical finisher wandugu manake ni game yake ya kama ya NNE hivi anakosa goli LA wazi kabisa. Na hapo anakutana na defenders ambao ni average. Je akikutana na best defenders Wa timu kubwa atapata hizo nafasi za kizembe? Na hapo ndo itapokuja ile ishu ya Lukaku kuendelea kufunga timu ndogo tu.
Daaa lukaku siyo clinical finisher wandugu manake ni game yake ya kama ya NNE hivi anakosa goli LA wazi kabisa. Na hapo anakutana na defenders ambao ni average. Je akikutana na best defenders Wa timu kubwa atapata hizo nafasi za kizembe? Na hapo ndo itapokuja ile ishu ya Lukaku kuendelea kufunga timu ndogo tu.
Ukiangalia hii utagundua kwa lukaku alipokosa Jana pagumu, tena wachezaji wakubwa sana walibaki na goal wakakosa...