Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

jo6nson kapiga mashine kwenye winga ya kulia ... Kipa wa man you anaisave hii.....save of the season)))
 
Bongeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee la goliiiii wakuuu. Move yenu kama Arsenal hapo.
Hahah kusema kweli kipindi cha kwanza tulicheza kama Arsenal maana tulicheza vizuri alafu tukajakufungwa magoli ya kijinga.
 
Huyu kipa wenu sidhani kama atakuwa anawapa match winning saves kama Van der Sar.

AW inaelekea huyu ni gunia ukajikunja sawa sawa na kuachia kitu kizito toka Temeke basi unaweza kabisa kuziona nyavu Magomeni 🙂🙂 Watamkumbuka sana Van Der Sar msimu huu.
 
Duh Ashley Young ndio mchezaji mwenye umri mkubwa kwenye timu yetu at 26.
 
Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee si mlikuwa mnakandia chipukizi what a turn around.
Kuna watu kama Berbatov kaingia sasa hivi kuna Giggs, Rio, Vidic wakubwa hii ni preseason tunawapa vijana mazoezi.
 
Back
Top Bottom