LMAO eti kama gunia msimu uliopita tumecheza na Arsenal mara tatu tumewafunga mara mbili na mmetufunga mara moja sasa hiyo ya kutufunga kama gunia umeitoa wapi ujaachaga longo longo tu?Naona mmeacha ile boring game yenu ndio chababu mnamlilia Nasri. Mwaka huu mtakoma ubishi hilo ndio fundisho mlilopata kutoka kwa mechi zenu mlizocheza na Arsenal na Barca na zote mlikung'utwa kama gunia. Karibuni mwaka huu tuna nyie tena mapema sana. ..... ..... .....
![]()
Enjoy while it lasts ... ..... ... khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
LMAO eti kama gunia msimu uliopita tumecheza na Arsenal mara tatu tumewafunga mara mbili na mmetufunga mara moja sasa hiyo ya kutufunga kama gunia umeitoa wapi ujaachaga longo longo tu?
[QUOTE Mkuu huwa tunaangalia last game tu hatuangalii maloloso mengine. Labda utwambie mechi yenu ya mwisho competitive mlitufunga mangapi? Vinginevyo lala tu usingizi wa pono na ass yako itakuwa poa leo, maana kelele zimepungua khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee