Manchester United (Red Devils) | Special Thread

manchester united ndio timu pekee duniani ambayo wachezaji wake wanawania kuanzia benchi kwenye mechi.
  • lord fellaini akianzia benchi akiingia anabadilisha movement nzima ya timu
  • martial akitokea benchi anafunga magoli
  • rashford akitokea benchi anafunga magoli
  • lingard akitokea benchi ana assist magoli nina wasiwasi mechi ijayo martial na rashford watagoma kuanza kikosi cha kwanza kwa sababu kila mmoja atamtegea mwenzake hivyo basi jose mourinho anapaswa aende uwanjani na bakora kama mwalim wa madrassa.
 
Tabia ya kumpa mtu apige tuta ili kuongeza magoli sio nzuri..
Pale mpigaji mzuri ni Mkhtaryan,Mata au Herrera
 
Uchambuzi mzuri, unajua wengi walikuwa wanalalamika kuanzia Rashford badala ya Martial. Sasa kila mmoja atabaki kimya suala la nani aanze litaachwa kwa Fundi Mou
 

Mkuu kuna rashford na martial hawa wanatosha sna pia tuna madogo kwenye academy kama angel gomes anahitaj kupanda bado perreira kifupi wapo wengi kaliba yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…