Manchester United (Red Devils) | Special Thread

IBRA anarudi kuharibu pace ya timu tu! Na tusipoangalia atatuletea shida dressing room manake sidhani kama atakubali kukaa benchi sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
IBRA anarudi kuharibu pace ya timu tu! Na tusipoangalia atatuletea shida dressing room manake sidhani kama atakubali kukaa benchi sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ibra ni professional footballer,nadhani kama atasaini maana yake amekubaliana no role atakayopewa na mwalimu, na pia kwa umri wake hawez cheza dk 90 kila mechi, Kitu kingine atakacho offer ni kuwa kama mentor wa kina lukaku,rashford, na martial. Pia atampunguzia pressure lukaku ambacho ni kitu kizuri.
 
Kumbe kuna sehemu ulinipinga? Point ipi uliyoipinga?

Kwahiyo kwa mujibu wa akili yako mbovu uefa ndio kipimo pekee cha timu kuwa kubwa? LoooooooooooooooooL

Yes am cunt, next question?
Nilikupinga kwa kutaka kulinganisha Chelsea na Arsenal. Wewe umeleta sababu za makombe nikakupinga kwa sababu hiyo. Mkuu record zipo tuu na zipo ili pia zivunjwe sasa kama umekariri ukubwa watimu ndio upo hapo, namimi nakwambia kaa hapo hapo.

Sisi tunaangalia nini unafanya sasa hivi? Boost uwezo wako wa kufikiri akili isiwe DORMANT.
 


Dogo Namuonea Huruma Sana Kasema Kama Atletico watamuuza oblack atalazimisha kuondoka sema kipengele cha kumuondoa kipo vilevile japo aliongeza mkataba mrefu
 
Meku kumbe na wewe mdau wa humu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dogo Namuonea Huruma Sana Kasema Kama Atletico watamuuza oblack atalazimisha kuondoka sema kipengele cha kumuondoa kipo vilevile japo aliongeza mkataba mrefu
Dogo anaendeshwa na matukio tu kwakua kaona man utd inaanza kuwa tishio ndio anasema hivyo.Alijidai mfia timu acha apambane na timu yake tu.
Mimi bado ni shabiki wake no 1.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…