Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

5d8997c06ff16282425108dc29eb55fc.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata mimi nimekuwa nikijiuliza sana morata ataiweza kweli EPl?? kwa beki kama lile la arsenal lilioingia kama sub ya majeruhi ya arsenal jitu limevimba kama gunia la viazi vya lushoto

Sent from myself
acha kabisa..ila lukaku tumepatia kwa sababu yupo tough na pia anaijua ligi ya england..huyu morata ngoja tumwone..ila nashukuru hatukumnasa asingebadilisha sana pale mbele...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
acha kabisa..ila lukaku tumepatia kwa sababu yupo tough na pia anaijua ligi ya england..huyu morata ngoja tumwone..ila nashukuru hatukumnasa asingebadilisha sana pale mbele...

Sent using Jamii Forums mobile app
Lukaku ndiyo usajili sahihi ukilinganisha na morata, kwanza ana uzoefu wa kutosha na EPL na ana mwili wenye kusumbua mabeki, isitoshe tunahutaji trophies hivyo sikuona sababu ya kumtafuta straiker ambae atataka kuchukuwa muda kuizoea ligi though ni kwa wachache wenye kuweza kuadopt.

Sent from myself
 
Back
Top Bottom