Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Screenshot_2017-08-06-15-08-46.png
 
Hivi wakuu hakuna mwenzetu humu analiye na duka la kuuza Jersey na sikafu za timu yetu pendwa kwa dar au hata mikoani ili tuungane mkono kwa kumchangia NB ziwe original mm nahitaji nipo DSM au mwenyw kujua maana mwaka Jana nilinunua chata yake ishabaduka
 
Hivi wakuu hakuna mwenzetu humu analiye na duka la kuuza Jersey na sikafu za timu yetu pendwa kwa dar au hata mikoani ili tuungane mkono kwa kumchangia NB ziwe original mm nahitaji nipo DSM au mwenyw kujua maana mwaka Jana nilinunua chata yake ishabaduka
jezi original ikiwa huko ulaya ni around 110,000 ikija huku kwetu andaa 150,000 kwenda mbele
 
Hivi wakuu hakuna mwenzetu humu analiye na duka la kuuza Jersey na sikafu za timu yetu pendwa kwa dar au hata mikoani ili tuungane mkono kwa kumchangia NB ziwe original mm nahitaji nipo DSM au mwenyw kujua maana mwaka Jana nilinunua chata yake ishabaduka
Kuna limoja lipo maeneo ya sinza karibia na VUNJA BEI shop.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi wakuu hakuna mwenzetu humu analiye na duka la kuuza Jersey na sikafu za timu yetu pendwa kwa dar au hata mikoani ili tuungane mkono kwa kumchangia NB ziwe original mm nahitaji nipo DSM au mwenyw kujua maana mwaka Jana nilinunua chata yake ishabaduka

Kama unataka jezi OG nunua kwenye store ya timu au adidas.
 
Back
Top Bottom