Kim Jong Jr
JF-Expert Member
- Mar 15, 2014
- 11,555
- 21,508
Natoa pongezi kwa wanazi wote wa Manchester united kwa kuuvamia na kuusasambua Uzi wa Chelsea .... Hawatasahau Yale mashambulizi ya Jana kutoka kwa Kamarada Enock Mwigane (everlink) na Mwalimu Gashasha (Sister)
Naomba team hii ipewe ulinzi wa kutosha , Mwenye namba ya Simon Sirro anipatie ili tuombe ulinzi si kwa kuuvamia Uzi wa Chelsea namna ile
Sent From My Nokia Ya Tochi
Naomba team hii ipewe ulinzi wa kutosha , Mwenye namba ya Simon Sirro anipatie ili tuombe ulinzi si kwa kuuvamia Uzi wa Chelsea namna ile
Sent From My Nokia Ya Tochi
