Bailly5
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 16,495
- 35,288
Ngoja ligi ianze atarudi tuKile chuma huwa kinajitolea sana kutoa updates hata kama haupo karibu na tv unaenda nao mchezo.
Ngoja ligi ianze atarudi tuKile chuma huwa kinajitolea sana kutoa updates hata kama haupo karibu na tv unaenda nao mchezo.
atakuja tu lakini.Yule kweli kitambo itabidi atafutwe aje tujumuike msimu utakuwa mzuri sana kwetu huu
Nina mood hatari.naona mood iko juu.
everlenk yupo bize ila ligi zikianza atakuja tuu mbona.nipo aiseee, kwasas sionekani sana ila nipo ligi ikianza ndiyo nitakuwepo zaidi. afadhali cute b karudi mana nae akifichwa anafichwa haswaaa.
mrembo mwingine shabiki damu wa Man Utd nae kapotea, sijui anamsaidia Mou kwenye mambo ya usajili.
Wenzako wana ronaldo na bale wewe una rashfold?mkuu perisic ni muhimu sana paleHapana kijana. Martial ni mtu mzima tena sana tuu kwenye soka. Katoka Monaco na goal kama 18 hivi. Kaja Man U akiwa bado hajazoea ligi kapga magoli kama 18 tena. Msimu ulioisha japohakuwa chaguo sana kapiga 4. Martial huwa haogopi beki ni kama Rashford tuu. Anavocheza ni kama De Lima anaifata beki ilipo. Anageuza kwa namna yoyote. Perisic umri mkubwa hafu chenga yake moja. Martial akipewa game mfululizo lazima akuue tuu. Ni kama Rashford on target 3 goal 1. Yaan pale hatutakiwi kutafta winger ingine. Wako wengi sana. Martial na Rashford big match zote pale EPL waliuua. Lingard yuko pale. Ndomaana Mou kaamua kulizika na usajili wa watatu kwanza. Martial uku Rashford kule Lukaku uko Miki/Mata hapo waraiiiiiii ni ushindii tuuu.
Wenzako wana ronaldo na bale wewe una rashfold?mkuu perisic ni muhimu sana pale
Sent using Jamii Forums mobile app
Jana valencia alipiga ile zunguka tukutane ilikuwa matata sana.
NASIKIA MCHONGO NDIO UMESUKWA ILA NEYMER ANATUA MAN U!
VP WAKUU HAMJAPATA PATA HIZI ZA CHINI YA KAPETI
Sent using Jamii Forums mobile app
unatafuta chimbo zuri unaangalia game na uku ukishushia wine kidogo.Nina mood hatari.
EPL ikianza wikiend huwa naipenda sana yaani siwi bored.
Na vijana inaonekana wapo fiti ..
Sent using Jamii Forums mobile app
nimetoka kuangalia marudio ya mechi, si mchezo kwa kweli vijana wako juu sana.Jana valencia alipiga ile zunguka tukutane ilikuwa matata sana.
hahahaha hiyo sengeli najua itakuwa wimbo wa mwanaume machine, mana madogo sasa hivi wanakimbiza utadhani wamefunga machine miguuni.everlenk yupo bize ila ligi zikianza atakuja tuu mbona.
Dear Mimi nipo hapa najiandaa kucheza Singeli maana vigodoro vimepitwa na wakati
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio maana sinaga wasi wasi na usajili wa mourinho!! Jana niliona shughuli ya huyu jamaa!! sasa sijui tutasingizia nini tena maana beki wapo, kipa yupo, viungo wapo wakiongozwa na pogba na matic, na pale mbele tuna lukaku!!
Pole sana mkuu. Nimekutana na mwenzako mmoja anasema huyu sio mchezaji...huyu mchezaji kaniuma sana kuondoka darajani. katika most blunder ambao uongozi wetu umefanya ni kumuuza huyu mtu tena kwa mpinzani wako.
ni sawa na umeenda vitani then unamuuzia silaha adui unayepambana nae tena silaha uitegemeayo.
kupata vichekesho kama hivo tuma neno neymar kwenda manU.
Pole sana mkuu. Nimekutana na mwenzako mmoja anasema huyu sio mchezaji...