Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Wakuu nashindwa nieleze nini but nashukuruni sana tena sana for the love!

Mkuu ipatama much respect to you brother, nimeona upendo wako kaka!

Ni kweli jana mida ya saa 11 jioni nadhani ni siku ambayo sitokaa niisahau kirahisi maishani mwangu, my little angel, my only son J uhai wake ulikatishwa na pikipiki, it's so painfull guys, ni hali ambayo hadi dakika hii still siamini kama kweli.

Shukrani kwa fans wote wa Manchester na soka kiujumla, kuna walionitumia meseji na kuna walionipigia simu kunifariji mungu awabariki.

My boy was six years old akisoma darasa la kwanza leo ndio tumempeleka kwenye nyumba yake ya milele so painful.

He was too young to die.
Pole sana mdau
Ni changamoto tu za maisha
 
Wakuu nashindwa nieleze nini but nashukuruni sana tena sana for the love!

Mkuu ipatama much respect to you brother, nimeona upendo wako kaka!

Ni kweli jana mida ya saa 11 jioni nadhani ni siku ambayo sitokaa niisahau kirahisi maishani mwangu, my little angel, my only son J uhai wake ulikatishwa na pikipiki, it's so painfull guys, ni hali ambayo hadi dakika hii still siamini kama kweli.

Shukrani kwa fans wote wa Manchester na soka kiujumla, kuna walionitumia meseji na kuna walionipigia simu kunifariji mungu awabariki.

My boy was six years old akisoma darasa la kwanza leo ndio tumempeleka kwenye nyumba yake ya milele so painful.

He was too young to die.
Pole ndugu yetu kazi yake mola haina makosa kifo hakizoeleki kwa wapendwa wetu mola kampenda zaidi.
 
FB_IMG_15015976022026667.jpg
 
Wakuu nashindwa nieleze nini but nashukuruni sana tena sana for the love!

Mkuu ipatama much respect to you brother, nimeona upendo wako kaka!

Ni kweli jana mida ya saa 11 jioni nadhani ni siku ambayo sitokaa niisahau kirahisi maishani mwangu, my little angel, my only son J uhai wake ulikatishwa na pikipiki, it's so painfull guys, ni hali ambayo hadi dakika hii still siamini kama kweli.

Shukrani kwa fans wote wa Manchester na soka kiujumla, kuna walionitumia meseji na kuna walionipigia simu kunifariji mungu awabariki.

My boy was six years old akisoma darasa la kwanza leo ndio tumempeleka kwenye nyumba yake ya milele so painful.

He was too young to die.
Mwenyenzi Mungu ampe pumziko la milele.
MUNGU akutie nguvu na uzidi kuwa imara Herrera.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu nashindwa nieleze nini but nashukuruni sana tena sana for the love!

Mkuu ipatama much respect to you brother, nimeona upendo wako kaka!

Ni kweli jana mida ya saa 11 jioni nadhani ni siku ambayo sitokaa niisahau kirahisi maishani mwangu, my little angel, my only son J uhai wake ulikatishwa na pikipiki, it's so painfull guys, ni hali ambayo hadi dakika hii still siamini kama kweli.

Shukrani kwa fans wote wa Manchester na soka kiujumla, kuna walionitumia meseji na kuna walionipigia simu kunifariji mungu awabariki.

My boy was six years old akisoma darasa la kwanza leo ndio tumempeleka kwenye nyumba yake ya milele so painful.

He was too young to die.
Pole sana Mkuu!

Tupo pamoja!
 
serge aurier toka psg wanasubilia kesi yake isomwe tarehe 7 alifarakana na polis mahakama ikaweka zuio la kuingia england na work permit ndo mana lipo ki usiri ila kila kitu tayar
Ngoja tusibirie matokeo ya kesi yake itakuaje
 
Back
Top Bottom