Perfectz
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 9,568
- 29,665
De gea kwenda madrid kwa sasa labda Mou awe ameondoka man united.Hakuna mahusiano mazuri kati yetu na wale wapuuzi.Wao kila mchezaji mzuri wanamtaka wao.Halafu magarasa yao hata yakibuma utaskia huyu anauzwa £ 90M.
Kama mimi ningekuwa Woodward ningeomba tukate kabisa mahusiano ya kibiashara na madrid ni washenzi sana wale jamaa
Kama mimi ningekuwa Woodward ningeomba tukate kabisa mahusiano ya kibiashara na madrid ni washenzi sana wale jamaa