Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

De gea kwenda madrid kwa sasa labda Mou awe ameondoka man united.Hakuna mahusiano mazuri kati yetu na wale wapuuzi.Wao kila mchezaji mzuri wanamtaka wao.Halafu magarasa yao hata yakibuma utaskia huyu anauzwa £ 90M.
Kama mimi ningekuwa Woodward ningeomba tukate kabisa mahusiano ya kibiashara na madrid ni washenzi sana wale jamaa
 
De gea kwenda madrid kwa sasa labda Mou awe ameondoka man united.Hakuna mahusiano mazuri kati yetu na wale wapuuzi.Wao kila mchezaji mzuri wanamtaka wao.Halafu magarasa yao hata yakibuma utaskia huyu anauzwa £ 90M.
Kama mimi ningekuwa Woodward ningeomba tukate kabisa mahusiano ya kibiashara na madrid ni washenzi sana wale jamaa
De gea watamsikia tu, wakomae kutafuta mwingine kwani Neur si kipa mzuri wangebadilishana na Bayern. Sisi kama wanamtaka basi kroos aunganishwe kwenye hilo dili ili iwe win win situation!
 
De gea kwenda madrid kwa sasa labda Mou awe ameondoka man united.Hakuna mahusiano mazuri kati yetu na wale wapuuzi.Wao kila mchezaji mzuri wanamtaka wao.Halafu magarasa yao hata yakibuma utaskia huyu anauzwa £ 90M.
Kama mimi ningekuwa Woodward ningeomba tukate kabisa mahusiano ya kibiashara na madrid ni washenzi sana wale jamaa
Wewee pesa inaongea lolote laweza kutokea kwa De gea.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom