Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Dah ila timu yetu Imeshabadilika tamaduni yetu ya fergie imeondoka itatuchukua miaka kama liverpool kuja kurudi tusifurahi tu haya mausajili mourihno siyo kocha

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Naliangalia soko lilivyo kipindi hiki,najaribu kumuelewa Mourihno juu ya usajili,najaribu kuyasoma mawazo ya woodward juu ya kutimiza mahitaji ya Kocha.

Kiukweli soko limekuwa na maswali mengi kipindi hiki,thamani ya wachezaji zimeongezwa maradufu kuliko hali halisi na uwezo wa mchezaji, kumekuwa na hali ya kukumoana katika soko baina ya timu,ndio hali ilivyo katika soko la sasa.

Nafurahishwa na uwezo na akili ya Mourihno katika kufanya maamuzi,kusajili mshambulaji na beki wa kati ilikuwa ni lazima kufanya hivyo kwa gharama Yeyote ile,na ndio mana kati ya Vyote tumetimiza haya mahitaji ya lazima.

Now tumebikiza kusajili Kiungo mmoja mkabaji,Winger na ikiwezekana Mshambuliaji mwingine,lakini kwa hali ya soko lilivyo na tukikaribia kuanza kwa msimu mpya sioni tukisajili mchezaji mwingine Zaidi ya kuhamia Plan B.

Sasa tunaona Majukumu mapya ya Adreas Pereira katika kikosi chetu,tuna mapungufu katika kiungo cha ukabaji,hivyo Mou anamuandaa Pereira kwa ajili ya kuziba pengo hili.

Tunaona kwa Tuanzabe pia kwa ajili ya kuwa Mrithi wa Valencia.

Tunaona majukumu Mapya kwa Lingard kwa ajili ya kuziba pengo la upungufu wa Mawinger endapo tutashindwa kusajili Winger.

Same as kwa mshambuliaji wa usaidizi,tunaona kasi Mpya ya Rashford.

Bado niaona nafasi ya Ibramovic kurudi kwa ajili ya kusaidia ushambuliaji.

Kitu nnachopenda na kufurahishwa ni kwa Mou kunaza kutumia Plan B,kumbuka alishaandika Mpango wa kufuata na kutekeleza Falsafa ya Sir Alex,ya kuwafanya wachezaji wa kawaida na chipkzi kuja kuwa World Class Player.

So ni Msimu wa Rashford, Lingard,Pereira na Lukaku huku wakisaidiawa na akina Herera,Pogba.

Ni wakati wa kumtengeneza Scholes Mpya,Roy keen Mpya n same as.

Sent using Jamii Forums mobile app
Yani lingard ndio aje kuwa winger mahiri wa team yetu pendwa... Tuache ushabiki lingard hana uwezo wa kukabidhiwa wing ... Msimu mzima hajapiga hata cross 50 ....


Ndio maana mourinho kwa kulijua hilo anatafuta natural winger kama perisic ambae kwa msimu wa 2016/17 anepiga cross zaidi ya 100. Manchester kwa sasa hatuna natural winger, natural winger kama Ashley young hana uwezo ule aliokuwa nao miaka kadhaa nyuma.

Martial na Rashford kiuhalisia wanachezeshwa katika wing kwa kukosa viungo wa pembeni halisi lakini hawa sio Nafasi zao kiuhalisia...


Kwa aina ya uchezaji wa Lukaku anahitajika winger wa kumwaga majaro za hatari... Winger wa kukusanya kijiji..


Sent From My Nokia Ya Tochi
 
nimetazama Video yake YouTube naona ana undugu wa karibu sana na Erick Bairly akija pale United nahisi, Ma-Forward wa timu pinzani watatumia njia ya anga kwenda golini, ila kama ni ardhini watavunjwa miguu.

Usinisahau kwenye Baraza Jipya.
Hahahaaaaa....we Raphael hovyo kabisa. umenichekesha sana, wapinzani itabidi wapae tu ili kuvuka ukuta.....vinginevyo miguu hawana😀😀🙂🙂
 
Hahahaaaaa....we Raphael hovyo kabisa. umenichekesha sana, wapinzani itabidi wapae tu ili kuvuka ukuta.....vinginevyo miguu hawana😀😀🙂🙂
Kweli vile nenda utazame video yake kisha jiulize akiwepo Erick,Victor,Rojo, na Serge wapi mshambuliaji atapita !!

Usinisahau kwenye Baraza Jipya.
 
Yani lingard ndio aje kuwa winger mahiri wa team yetu pendwa... Tuache ushabiki lingard hana uwezo wa kukabidhiwa wing ... Msimu mzima hajapiga hata cross 50 ....


Ndio maana mourinho kwa kulijua hilo anatafuta natural winger kama perisic ambae kwa msimu wa 2016/17 anepiga cross zaidi ya 100. Manchester kwa sasa hatuna natural winger, natural winger kama Ashley young hana uwezo ule aliokuwa nao miaka kadhaa nyuma.

Martial na Rashford kiuhalisia wanachezeshwa katika wing kwa kukosa viungo wa pembeni halisi lakini hawa sio Nafasi zao kiuhalisia...


Kwa aina ya uchezaji wa Lukaku anahitajika winger wa kumwaga majaro za hatari... Winger wa kukusanya kijiji..


Sent From My Nokia Ya Tochi
kwani Lingard ni Winger au Attacking Midfielder?
 
kwani Lingard ni Winger au Attacking Midfielder?
Umetumia lugha mbili tofauti lakini neno ni moja
TETESI ZA SOKA ULAYA ALHAMISI 22.06.2017

Mshambuliaji wa Chelsea Diego Costa, 28, atakaidi hatua ya Antonio Conte na kukataa kuondoka Stamford Bridge, hadi akubaliwe kurudi Atletico Madrid (Daily Star).

Diego Costa amewaambia Atletico Madrid kuwa anataka kurejea Spain. Kutokana na Atletico kufungiwa kusajili, hata akisajiliwa sasa hatoweza kucheza hadi Januari (Sky Sports).

Thibault Courtois hajasaini mkataba mpya, huku Real Madrid wakimnyatia. Kipa huyo wa Chelsea anataka mkataba wa pauni milioni 10 kwa mwaka (The Sun).

Real Madrid wanasubiri Manchester United kupanda dau la kumtaka mshambuliaji Alvaro Morata, 24, kabla ya mabingwa hao wa Ulaya kuanza kumfuatilia Kylian Mbappe, 18, kutoka Monaco (Diario Gol).

Meneja wa Real Madrid Zinedine Zidane atafikiria kuimarisha safu ya ulinzi kwa kumchukua Leonardo Bonucci kutoka Juventus. Zidane hana mpango wa kusajili mabeki wengine na atatoa nafasi kwa chipukizi ikiwa hawatoafikiana na Juve (Diario Gol).

Hatua ya Ronaldo kubadili mawazo ya kuondoka Real Madrid, imelazimisha Manchester United sasa kuzingatia zaidi usajili wa Alvaro Morata. Jose Mourinho tayari ametenga pauni milioni 60 na wanadhani watamchukua kabla ya mechi za kabla ya kuanza kwa msimu (The Sun).
Cristiano Ronaldo anafikiria kwenda Paris Saint Germain baada ya kupewa dau na klabu hiyo (Marca).

Jose Mourinho ameiambia Manchester United kuachana na Ronaldo na kulenga kumsajili Neymar badala yake (Don Balon).

Juventus wamepiga hatua za mwanzo katika jitihada zao za kutaka kumsajili Matteo Darmian kutoka Manchester United (Sky Sport Italy).

Kiungo wa Manchester City Samir Nasri anatarajiwa kupewa mshahara wa pauni 275,000 kwa wiki, baada ya kukatwa kodi, ili kujiunga na Shanghai Shenhua ya China (The Sun).

Manchester United wamekuwa na mazungumzo na wakala wa Robert Lewadowski katika jitihada za kutaka kumchukua mshambuliaji huyo wa kimataifa wa Poland na Bayern Munich (Sky Sports).

Zlatan Ibrahimovic anataka kwenda Real Madrid baada ya kuruhusiwa kuondoka Manchester United (Diario Gol).

Mustakbali wa Robert Lewandowski kusalia Bayern Munich utategemea na matokeo ya klabu hiyo ya Ujerumani kutaka kumsajili mshambuliaji wa Arsenal Alexis Sanchez (The Sun).

Leicester City wanapanga kutoa pauni milioni 25 kutaka kumsajili mshambuliaji wa Manchester City Kelechi Iheanacho, 20 (Daily Telegraph).
Leicester wanafikiria hatua ya kuchukua baada ya West Brom kuwaambia watahitaji kutoa pauni milioni 10 ikiwa wanamtaka beki Jonny Evans, 29 (Leicester Mercury).

Chelsea wanakaribia kukamilisha usajili wa kiungo Tiemoue Bakayoko, 22, kutoka Monaco kwa pauni milioni 35, hatua ambayo huenda ikasababisha Nemanja Matic, 28, kuondoka na kwenda Manchester United (Daily Mail).

Sakata la Manchester City kumtaka beki wa Tottenham Kyle walker, 27, litaendelea hadi wiki ijayo baada ya Spurs kukataa kushusha bei ya pauni milioni 50. Hata hivyo City wataendelea kumfuatilia pia Dani Alves kutoka Juventus (Independent).

Manchester City wapo tayari kupokea pauni milioni 18 kutoka Lyon ili kumuuza Eliaquim Mangala. City walimnunua Mangala kwa pauni milioni 42 miaka mitatu iliyopita (SportsMole)

Habari zilizothibitishwa tutakujuza mara zitakapothibitishwa. Tetesi nyingine kesho tukijaaliwa. Share tetesi hizi na wapenda soka wote. Siku njema.

Yani lingard ndio aje kuwa winger mahiri wa team yetu pendwa... Tuache ushabiki lingard hana uwezo wa kukabidhiwa wing ... Msimu mzima hajapiga hata cross 50 ....


Ndio maana mourinho kwa kulijua hilo anatafuta natural winger kama perisic ambae kwa msimu wa 2016/17 anepiga cross zaidi ya 100. Manchester kwa sasa hatuna natural winger, natural winger kama Ashley young hana uwezo ule aliokuwa nao miaka kadhaa nyuma.

Martial na Rashford kiuhalisia wanachezeshwa katika wing kwa kukosa viungo wa pembeni halisi lakini hawa sio Nafasi zao kiuhalisia...


Kwa aina ya uchezaji wa Lukaku anahitajika winger wa kumwaga majaro za hatari... Winger wa kukusanya kijiji..


Sent From My Nokia Ya Tochi


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yani lingard ndio aje kuwa winger mahiri wa team yetu pendwa... Tuache ushabiki lingard hana uwezo wa kukabidhiwa wing ... Msimu mzima hajapiga hata cross 50 ....


Ndio maana mourinho kwa kulijua hilo anatafuta natural winger kama perisic ambae kwa msimu wa 2016/17 anepiga cross zaidi ya 100. Manchester kwa sasa hatuna natural winger, natural winger kama Ashley young hana uwezo ule aliokuwa nao miaka kadhaa nyuma.

Martial na Rashford kiuhalisia wanachezeshwa katika wing kwa kukosa viungo wa pembeni halisi lakini hawa sio Nafasi zao kiuhalisia...


Kwa aina ya uchezaji wa Lukaku anahitajika winger wa kumwaga majaro za hatari... Winger wa kukusanya kijiji..


Sent From My Nokia Ya Tochi
Nakubaliana na wewe kabisa kuwa hatuna Natural Wing,na vilevile hata Lingard na Rashford kiuhalisia ni Viungo washambuliaji ila kuwatumia natural wing inategemea na mifumo ya Kocha na Timu.

Kama ni Mfatiliaji wa Mpira utakubaliana na mimi kuwa mpira wa sasa umebadilika mno,Makocha wengi mafundi hawapendi kutumia mawinga katika timu zao,ni Makocha wachache sana wanaindelea na utamaduni huo kama Zidane.

Nishawahi kuandika hapa kuwa Mou sio muumini wa Mawinger hasa hawa Natural kama Ashley,ni muumini wa Viungo wa ukabaji na Ushambuliaji mana ndio wanaofiti katika mifumo yake.

Hawa Mawinger wanaopiga Cross now hawana nafasi,tunataka Mawinger kama Rashford,Lingard ambao kiuhalisia ni Viungo wa Ushambuliaji.

Hizi Cross zitapigwa na Mafull back ambao now ndio hutumika kama Wings.

Fanya analysis zako katika msimu uliopita uone kama tunahitaji Wings au Mou kama anahitaji kweli Wings.

Kwa michezo ya hizi match za majaribio tumeona angalau uelekeo wa Timu.

Na kwa mpira uliopigwa katika match na Man City nadhani Mou atakuwa na majibu mengi juu ya Mapungufu na aina ya timu aliyokuwa anaitaka.

Pale Mbele,weka 8 - Pogba,9 - Lukaku,10- Rashford,11 - Lingard,7 - Mikhityran,6 - Herera uone kachumbari.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakubaliana na wewe kabisa kuwa hatuna Natural Wing,na vilevile hata Lingard na Rashford kiuhalisia ni Viungo washambuliaji ila kuwatumia natural wing inategemea na mifumo ya Kocha na Timu.

Kama ni Mfatiliaji wa Mpira utakubaliana na mimi kuwa mpira wa sasa umebadilika mno,Makocha wengi mafundi hawapendi kutumia mawinga katika timu zao,ni Makocha wachache sana wanaindelea na utamaduni huo kama Zidane.

Nishawahi kuandika hapa kuwa Mou sio muumini wa Mawinger hasa hawa Natural kama Ashley,ni muumini wa Viungo wa ukabaji na Ushambuliaji mana ndio wanaofiti katika mifumo yake.

Hawa Mawinger wanaopiga Cross now hawana nafasi,tunataka Mawinger kama Rashford,Lingard ambao kiuhalisia ni Viungo wa Ushambuliaji.

Hizi Cross zitapigwa na Mafull back ambao now ndio hutumika kama Wings.

Fanya analysis zako katika msimu uliopita uone kama tunahitaji Wings au Mou kama anahitaji kweli Wings.

Kwa michezo ya hizi match za majaribio tumeona angalau uelekeo wa Timu.

Na kwa mpira uliopigwa katika match na Man City nadhani Mou atakuwa na majibu mengi juu ya Mapungufu na aina ya timu aliyokuwa anaitaka.

Pale Mbele,weka 8 - Pogba,9 - Lukaku,10- Rashford,11 - Lingard,7 - Mikhityran,6 - Herera uone kachumbari.


Sent using Jamii Forums mobile app
Nawaza tofauti, kwa Lingard awepo Uan Mata

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom