Ethos
JF-Expert Member
- Aug 1, 2015
- 2,294
- 2,090
Gooorigoorigorigori
Gooooooooooooal
Lukaaaaaaaaaaaaku
36' Man Utd 1-0 Man Shit
Amkeni amkeni amkeni... kumekucha hapa uwanja wa taifa... kumekucha amkeni. Niliwaambia hapo kabla huyu Lukaku huyu ni hatari saaana atawaua vibaya sana. Kwako mwalimu kashasha....
Mwl. Kashasha: yani sipati picha akikutana na Arse88 huyu nadhani anaweza akacheza peke yake na akafunga hata 8 kama sio 8 inahitaji uwe na mapanga nyundo tindo misimeno nail cutter visu bikari na hata pisto kumzuia HUYU kwako Jese John.
Jese: Refaaaaaa malizaaaaaa tunataka kwenda kaziniiii....
p00r Arse88
GGMU.
Sent using Jamii Forums mobile app
Gooooooooooooal
Lukaaaaaaaaaaaaku
36' Man Utd 1-0 Man Shit
Amkeni amkeni amkeni... kumekucha hapa uwanja wa taifa... kumekucha amkeni. Niliwaambia hapo kabla huyu Lukaku huyu ni hatari saaana atawaua vibaya sana. Kwako mwalimu kashasha....
Mwl. Kashasha: yani sipati picha akikutana na Arse88 huyu nadhani anaweza akacheza peke yake na akafunga hata 8 kama sio 8 inahitaji uwe na mapanga nyundo tindo misimeno nail cutter visu bikari na hata pisto kumzuia HUYU kwako Jese John.
Jese: Refaaaaaa malizaaaaaa tunataka kwenda kaziniiii....
p00r Arse88
GGMU.
Sent using Jamii Forums mobile app

