Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Gooorigoorigorigori
Gooooooooooooal
Lukaaaaaaaaaaaaku
36' Man Utd 1-0 Man Shit
Amkeni amkeni amkeni... kumekucha hapa uwanja wa taifa... kumekucha amkeni. Niliwaambia hapo kabla huyu Lukaku huyu ni hatari saaana atawaua vibaya sana. Kwako mwalimu kashasha....
Mwl. Kashasha: yani sipati picha akikutana na Arse88 huyu nadhani anaweza akacheza peke yake na akafunga hata 8 kama sio 8 inahitaji uwe na mapanga nyundo tindo misimeno nail cutter visu bikari na hata pisto kumzuia HUYU kwako Jese John.
Jese: Refaaaaaa malizaaaaaa tunataka kwenda kaziniiii....

p00r Arse88

GGMU.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1e06c54e77411e1530f838c1a222196f.jpg

Nimeanza mazoezi ya kushangilia 8 tena.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Andreas pereira dogo ni kiungo mzuri sana pia....

Sent using Jamii Forums mobile app
Naliangalia soko lilivyo kipindi hiki,najaribu kumuelewa Mourihno juu ya usajili,najaribu kuyasoma mawazo ya woodward juu ya kutimiza mahitaji ya Kocha.

Kiukweli soko limekuwa na maswali mengi kipindi hiki,thamani ya wachezaji zimeongezwa maradufu kuliko hali halisi na uwezo wa mchezaji, kumekuwa na hali ya kukumoana katika soko baina ya timu,ndio hali ilivyo katika soko la sasa.

Nafurahishwa na uwezo na akili ya Mourihno katika kufanya maamuzi,kusajili mshambulaji na beki wa kati ilikuwa ni lazima kufanya hivyo kwa gharama Yeyote ile,na ndio mana kati ya Vyote tumetimiza haya mahitaji ya lazima.

Now tumebikiza kusajili Kiungo mmoja mkabaji,Winger na ikiwezekana Mshambuliaji mwingine,lakini kwa hali ya soko lilivyo na tukikaribia kuanza kwa msimu mpya sioni tukisajili mchezaji mwingine Zaidi ya kuhamia Plan B.

Sasa tunaona Majukumu mapya ya Adreas Pereira katika kikosi chetu,tuna mapungufu katika kiungo cha ukabaji,hivyo Mou anamuandaa Pereira kwa ajili ya kuziba pengo hili.

Tunaona kwa Tuanzabe pia kwa ajili ya kuwa Mrithi wa Valencia.

Tunaona majukumu Mapya kwa Lingard kwa ajili ya kuziba pengo la upungufu wa Mawinger endapo tutashindwa kusajili Winger.

Same as kwa mshambuliaji wa usaidizi,tunaona kasi Mpya ya Rashford.

Bado niaona nafasi ya Ibramovic kurudi kwa ajili ya kusaidia ushambuliaji.

Kitu nnachopenda na kufurahishwa ni kwa Mou kunaza kutumia Plan B,kumbuka alishaandika Mpango wa kufuata na kutekeleza Falsafa ya Sir Alex,ya kuwafanya wachezaji wa kawaida na chipkzi kuja kuwa World Class Player.

So ni Msimu wa Rashford, Lingard,Pereira na Lukaku huku wakisaidiawa na akina Herera,Pogba.

Ni wakati wa kumtengeneza Scholes Mpya,Roy keen Mpya n same as.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yote kwa yote kuna mtu yupo on fire ......Mikhmagic hatari sana uyu mtu
Nakubaliana na wewe,ila naona kukuwa au kuongezeka kwa uwezo kwa wachezaji wengi sana,Mikh now atakakiwa kutuonyesha thamani yake halisi.

Ila ni mapema sana kushangalia haya mafanikio lakini dalili za Mvua ni mawingu,Mwanzo Mzuri.

We Back in our track.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
LUKAKU: 145 carrier goals
MORATA: 188 carrier appearances

Level
 
Naliangalia soko lilivyo kipindi hiki,najaribu kumuelewa Mourihno juu ya usajili,najaribu kuyasoma mawazo ya woodward juu ya kutimiza mahitaji ya Kocha.

Kiukweli soko limekuwa na maswali mengi kipindi hiki,thamani ya wachezaji zimeongezwa maradufu kuliko hali halisi na uwezo wa mchezaji, kumekuwa na hali ya kukumoana katika soko baina ya timu,ndio hali ilivyo katika soko la sasa.

Nafurahishwa na uwezo na akili ya Mourihno katika kufanya maamuzi,kusajili mshambulaji na beki wa kati ilikuwa ni lazima kufanya hivyo kwa gharama Yeyote ile,na ndio mana kati ya Vyote tumetimiza haya mahitaji ya lazima.

Now tumebikiza kusajili Kiungo mmoja mkabaji,Winger na ikiwezekana Mshambuliaji mwingine,lakini kwa hali ya soko lilivyo na tukikaribia kuanza kwa msimu mpya sioni tukisajili mchezaji mwingine Zaidi ya kuhamia Plan B.

Sasa tunaona Majukumu mapya ya Adreas Pereira katika kikosi chetu,tuna mapungufu katika kiungo cha ukabaji,hivyo Mou anamuandaa Pereira kwa ajili ya kuziba pengo hili.

Tunaona kwa Tuanzabe pia kwa ajili ya kuwa Mrithi wa Valencia.

Tunaona majukumu Mapya kwa Lingard kwa ajili ya kuziba pengo la upungufu wa Mawinger endapo tutashindwa kusajili Winger.

Same as kwa mshambuliaji wa usaidizi,tunaona kasi Mpya ya Rashford.

Bado niaona nafasi ya Ibramovic kurudi kwa ajili ya kusaidia ushambuliaji.

Kitu nnachopenda na kufurahishwa ni kwa Mou kunaza kutumia Plan B,kumbuka alishaandika Mpango wa kufuata na kutekeleza Falsafa ya Sir Alex,ya kuwafanya wachezaji wa kawaida na chipkzi kuja kuwa World Class Player.

So ni Msimu wa Rashford, Lingard,Pereira na Lukaku huku wakisaidiawa na akina Herera,Pogba.

Ni wakati wa kumtengeneza Scholes Mpya,Roy keen Mpya n same as.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nice analysis mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naliangalia soko lilivyo kipindi hiki,najaribu kumuelewa Mourihno juu ya usajili,najaribu kuyasoma mawazo ya woodward juu ya kutimiza mahitaji ya Kocha.

Kiukweli soko limekuwa na maswali mengi kipindi hiki,thamani ya wachezaji zimeongezwa maradufu kuliko hali halisi na uwezo wa mchezaji, kumekuwa na hali ya kukumoana katika soko baina ya timu,ndio hali ilivyo katika soko la sasa.

Nafurahishwa na uwezo na akili ya Mourihno katika kufanya maamuzi,kusajili mshambulaji na beki wa kati ilikuwa ni lazima kufanya hivyo kwa gharama Yeyote ile,na ndio mana kati ya Vyote tumetimiza haya mahitaji ya lazima.

Now tumebikiza kusajili Kiungo mmoja mkabaji,Winger na ikiwezekana Mshambuliaji mwingine,lakini kwa hali ya soko lilivyo na tukikaribia kuanza kwa msimu mpya sioni tukisajili mchezaji mwingine Zaidi ya kuhamia Plan B.

Sasa tunaona Majukumu mapya ya Adreas Pereira katika kikosi chetu,tuna mapungufu katika kiungo cha ukabaji,hivyo Mou anamuandaa Pereira kwa ajili ya kuziba pengo hili.

Tunaona kwa Tuanzabe pia kwa ajili ya kuwa Mrithi wa Valencia.

Tunaona majukumu Mapya kwa Lingard kwa ajili ya kuziba pengo la upungufu wa Mawinger endapo tutashindwa kusajili Winger.

Same as kwa mshambuliaji wa usaidizi,tunaona kasi Mpya ya Rashford.

Bado niaona nafasi ya Ibramovic kurudi kwa ajili ya kusaidia ushambuliaji.

Kitu nnachopenda na kufurahishwa ni kwa Mou kunaza kutumia Plan B,kumbuka alishaandika Mpango wa kufuata na kutekeleza Falsafa ya Sir Alex,ya kuwafanya wachezaji wa kawaida na chipkzi kuja kuwa World Class Player.

So ni Msimu wa Rashford, Lingard,Pereira na Lukaku huku wakisaidiawa na akina Herera,Pogba.

Ni wakati wa kumtengeneza Scholes Mpya,Roy keen Mpya n same as.

Sent using Jamii Forums mobile app

Mata humjui kijana?
 
Naliangalia soko lilivyo kipindi hiki,najaribu kumuelewa Mourihno juu ya usajili,najaribu kuyasoma mawazo ya woodward juu ya kutimiza mahitaji ya Kocha.

Kiukweli soko limekuwa na maswali mengi kipindi hiki,thamani ya wachezaji zimeongezwa maradufu kuliko hali halisi na uwezo wa mchezaji, kumekuwa na hali ya kukumoana katika soko baina ya timu,ndio hali ilivyo katika soko la sasa.

Nafurahishwa na uwezo na akili ya Mourihno katika kufanya maamuzi,kusajili mshambulaji na beki wa kati ilikuwa ni lazima kufanya hivyo kwa gharama Yeyote ile,na ndio mana kati ya Vyote tumetimiza haya mahitaji ya lazima.

Now tumebikiza kusajili Kiungo mmoja mkabaji,Winger na ikiwezekana Mshambuliaji mwingine,lakini kwa hali ya soko lilivyo na tukikaribia kuanza kwa msimu mpya sioni tukisajili mchezaji mwingine Zaidi ya kuhamia Plan B.

Sasa tunaona Majukumu mapya ya Adreas Pereira katika kikosi chetu,tuna mapungufu katika kiungo cha ukabaji,hivyo Mou anamuandaa Pereira kwa ajili ya kuziba pengo hili.

Tunaona kwa Tuanzabe pia kwa ajili ya kuwa Mrithi wa Valencia.

Tunaona majukumu Mapya kwa Lingard kwa ajili ya kuziba pengo la upungufu wa Mawinger endapo tutashindwa kusajili Winger.

Same as kwa mshambuliaji wa usaidizi,tunaona kasi Mpya ya Rashford.

Bado niaona nafasi ya Ibramovic kurudi kwa ajili ya kusaidia ushambuliaji.

Kitu nnachopenda na kufurahishwa ni kwa Mou kunaza kutumia Plan B,kumbuka alishaandika Mpango wa kufuata na kutekeleza Falsafa ya Sir Alex,ya kuwafanya wachezaji wa kawaida na chipkzi kuja kuwa World Class Player.

So ni Msimu wa Rashford, Lingard,Pereira na Lukaku huku wakisaidiawa na akina Herera,Pogba.

Ni wakati wa kumtengeneza Scholes Mpya,Roy keen Mpya n same as.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hili la kukomoana au ulafI wa vilabu ni jambo la wazi kabisa tizama walker tot wamelamba 54 kweupe viwango vya pesa na uwezo vipo tofauti sana naungana na maelezo yako akili ya mou ndio hiyo
 
Boss wa Chelsea kasema Matic ataondoka kwa £50 Milioni, JM aliweka dau la £30 Milioni na amesema wanaweza pia kumsajili kwa dau hilo ambalo Chelsea wanataka.

Kasper (Golikipa wa Leceister) yupo kwenye rada za Man U hii, inaonesha De Gea akiondoka basi kati ya yeye na Romero mmoja atakuwa mrithi wa miringoti ile mitatu.



Usinisahau kwenye Baraza Jipya.
 
Boss wa Chelsea kasema Matic ataondoka kwa £50 Milioni, JM aliweka dau la £30 Milioni na amesema wanaweza pia kumsajili kwa dau hilo ambalo Chelsea wanataka.

Kasper (Golikipa wa Leceister) yupo kwenye rada za Man U hii, inaonesha De Gea akiondoka basi kati ya yeye na Romero mmoja atakuwa mrithi wa miringoti ile mitatu.



Usinisahau kwenye Baraza Jipya.
Inasemekana Rashford yupo kwenye Radar za Madrid. Mziki upo hapo...
 
Huyu Serge yuko vzr?

Sent using Jamii Forums mobile app
nimetazama Video yake YouTube naona ana undugu wa karibu sana na Erick Bairly akija pale United nahisi, Ma-Forward wa timu pinzani watatumia njia ya anga kwenda golini, ila kama ni ardhini watavunjwa miguu.

Usinisahau kwenye Baraza Jipya.
 
Back
Top Bottom