Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kwanini asivunje wakati ana lundo la wachezaji wa kumlisha mipira?
Yeye kazi yake ni kusukumizia golini.
Can't wait aisee league ianze sasa.. Ila tungempata winga mmoja Mwenye nguvu atakayekuwa anafanya backup plan kurudi nyuma na kupandisha mashambuli alafu awe na pass accurate kikosi kitarotate vizuri sana.
 
...
8ceb99a1ceffc65737ae20a4cf7f292a.jpg
3f0516862c71f4bd98348ef4310c8d92.jpg
10d6f409eb56742c0dba3a518c505ae9.jpg
 
bolingoli na bao la msimu.... anaanza kunishawishi nimpende

sent from my iphone 7 nimeinunua SAPNA pale POSTA
 
Wakuu Lingard naanza kumuelewa dogo ni hatari mourinho aachane na perisic ampe dogo nafasi ya kucheza
Kweli mkuu,dogo huwa anauwezo wa kudrible kwa kasi mpira kwa umakini kuliko mchezaji mwingine,ukimwacha mikhi..sema watu huwa wakimchukia mtu huwezi kulazimisha wamwelewe..ila my side jesse anadeserve kupata nafasi..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom