Ha ha ha ha "kasanzuka"
Sisi ni wahenga ..
Sent from my HTC ONE using JamiiForums mobile app
Morata 40 goals in 4 years
Lukaku 105 goals in 4 years
Now stop the comparing!
Aliyelia nani,nyie kocha wenuvsi hadi alimind kisa kumkosa Lukaku? Unapagawa na mitandao mi nimeleta takwimu we unajibu hoja kwa umbea. Na alikwambia nani Mashabiki wa man utd wanaishabikia Real madrid? Au mtu akimpenda ronaldo ni kosa? Mbona nyie mnawapenda lukaku na mata na wako Chama kubwa Manchester?Takwimu mnazo sasa nini kinawafanya mnalia kibwege mitandaoni na kelele za kuacha kushabikia Madridnawakumbusha Mourinho alianza na Morata kabla ya Lukaku.
Aliyelia nani,nyie kocha wenuvsi hadi alimind kisa kumkosa Lukaku? Unapagawa na mitandao mi nimeleta takwimu we unajibu hoja kwa umbea. Na alikwambia nani Mashabiki wa man utd wanaishabikia Real madrid? Au mtu akimpenda ronaldo ni kosa? Mbona nyie mnawapenda lukaku na mata na wako Chama kubwa Manchester?
Hapo ndo unapofeli unapojifanya unajua siri za taarifa za usajili za man utd,kwa taarifa yako sasa Man utd ilikuwa inashughulikia usajili wa Morata na Lukaku kwa pamoja,na wachambuzi wameanda mbali kusema huenda man utd walihamishia attention yote kwa Morata huku secrectly wakimfukuzia lukaku ndo maana nyie mlirelax mkajua lukaku wenu mwishowe tunajua kilichotokea.Relaaaax bro' relaaaax just take a chill pillangalia hata umu yupo aliesema kua anaacha kui-support Madrid kisa ishu ya Morata,nakuuliza ivi wewe unazijua takwimu kuliko Mo?maana Mo alianza na Morata kabla ya kuhamia kwa Lukaku baada ya ishu ya Morata kubuma.
oyaa watu wanapressure shauri yakoMan U vs Arsenal
Score: 1 - 0
Min: 17
Goal!!-Lukaku
*Tunatest Mitambo*
Sent from my Nokia ya Tochi using JamiiForums Mobile app
Mzee 28 years wa nn sasa?
Na Depay piaJanuzaj yupo wapi?? Hatujasahau sifa mlizompamba ujueee! New christian Ronaldo
Pogba wa tz nchi imekushinda!
Saa 4:30 alfajiri
Mkuu kama unaamua tu kubishana ili utoke povu just go ahead.
Binafsi hata Mimi as shabiki Wa Man U nilitamani zaidi tungempata Morata lakini haikuwa hivyo.
But as a matter of fact Lukaku ni goal getter mzuri zaidi kuliko Morata ndio mana utaona katika same Interval Lukaku amefunga zaidi kuliko Morata.
Morata ni mzuri zaidi hata team ikizidiwa coz anaweza kushuka kusaidia viungo na akatoka kati na mpira kupandisha mashambulizi While Lukaku ni mzuri zaidi akilishwa na viungo/winger wachezeshaji.
Hivyo tukubaliane kuwa hawa Wachezaji wote ni wazuri na sisahihi kuona kwamba mmoja ni garasa dhidi ya mwingine.
Kumfananinisha kilaza Lukaku na morata ni sawa na kupamba mavi mauaHiyo inaitwa mbwa kala mbwa, Morata Paundi mil 70.7 Man Utd waona hawa jamaa wanataka kutufanya majuha, yaani bench wormer Pound mil70. Ili kuwaonesha wao ni Jeuri wakaamua kutoa Pound Mil 75 kwa Lukaku na kuwaachia mchezaji wao.
Nilichojifunza hapa walijua kuwa Man Utd wako desperate so wangewaendesha wanavyotaka, wakasahau kuwa tuna Javier Ribalta kwa hiyo hakuna wa kutupiga kizembe. Ona inter milan nao wanavyotaka kutupiga kwa Perisic. Hawajui hela imekuwa ngumu siku hizi.