Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kweli mkuu naona watu wana moto wawapi cjui wanashindwa Ku reason vzur... Awaoni lukaku moto wake pamoja nakwamba alikuwa timu ndogo kama Everton lkn aliweza hadi kuwa second top scorer wa premier imagine akiwa chini ya kina pogba kina miki kina mata na kina herera

Sent from my G7-L01 using JamiiForums mobile app
 
After Wayne Rooney's exit, Juan Mata is now the current squad top scorer for Manchester United with 36 goals.

Sent from my HTC One E9PLUS dual sim using JamiiForums mobile app
 

Halafu Morata ajawai kuwa mchezaji wa kujitegemeq,Juve alikua anacheza kama back up na Madrid hivyo hivyo. Ajawai kucheza mechi 15 mfululizo kwa kukaliza dakika 90.
 
Aimbe kwa umombo kipaji anacho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…