Waungwana hii ni kama nightmare ya 2009, tofauti ni kuwa hii timu bado haijafikia kiwango cha timu ya 2008/2009 au 1999 na the fact that we made it to the final inanipa furaha pamoja na kuwa tumefungwa na timu bora duniani. Future ni nzuri tunatakiwa kujenga midfield na kuongezea striker maana nasikia Berbatov na Michael Owen wanaondoka.
Congratulations kwa Barcelona though. They were the best team na wana deserve kushinda hakuna ubishi kwenye ilo.
Nategemea washabiki wa Man City watafurahia kwa sababu tumefungwa na wao wameshinda F.A. Cup.
Liverpool watasherekea kwa sababu bado wako na makombe matano na sisi matatu, lakini the fact that hawako ata kwenye Europa League makes me laugh.
Arsenal na Chelsea wanafurahia sababu siijui.
Ilikuwa ni safari nzuri kwa Manchester United msimu huu na nimefurahia kujumuika nanyi kuanzia mwanzo mwa msimu mpaka leo. Nawashukuru sana! Tukutane tena msimu ujao.