Aaaah aaaah aaaah umepanic bro,tuongee mpira bwana,Mou ametupa Europa Ligue tayari,Pogba amesharudisha pesa yetu Jezi yake na ongezeko la mikataba ya wadhamini vimeifanya man u kuwa ya kwanza kwa pesa DunianiSubiri hizo droo zibadilike muone mengine maana umeandika kama unapiga ramli. Mambo mengi ni ya kufikirika.
Umejaza maneno mengi ya kufikirika huyo kocha kafukuzwa alikotoka subiri mtamfukuza muda si mrefu.
Aisee.. Huyo ni mchezaji mzuri sana na Chelsea wafanye hima, hongera Man kwa Lukaku nilikuwa sitaki aje darajani.
Confirmed?Morata to Manutd so that Mbappe to Real Madrid!
Na lukaku je??Morata to Manutd so that Mbappe to Real Madrid!
Mkuu wenzetu wana mgawanyo ambao wote wanapokea sawa halafu kuna kiasi kingine wanapewa tofauti tofauti.Mkuu kama nakumbuka vizuri, msimu ulioisha timu zote kuanzia Chelsea hadi Sunderland walilipwa Pound Million 98 kama TV rights.
Sasa hapa sijaelewa Sunderland ilikuwaje wakapata mgao sawa na Man Utd wakati wao wana Defoe tu (At least)
Chelsea wamefanya kosa kubwa sana,January kuna timu ya China ilitaka kumnunua kwa paundi mil 70 wakagoma now inabidi wamuuze chini ya paundi mil 30Unamuacha Costa unamtaka Bellote, akili au matope?
Manchester United used Alvaro Morata move as a smokescreen to seal Romelu Lukaku - report
MANCHESTER UNITED were happy for people to focus on their move for Alvaro Morata as they secretly worked on a deal for Romelu Lukaku.
RumoursConfirmed?
Na lukaku je??
Manchester United used Alvaro Morata move as a smokescreen to seal Romelu Lukaku - report
MANCHESTER UNITED were happy for people to focus on their move for Alvaro Morata as they secretly worked on a deal for Romelu Lukaku.
Katika Picha hili la Lukaku sterling ni Edward Edwood,,.
Im sorry kama niliwahi kukusema vibaya,,.
Ed ni mafia tena wa kiwango cha juu.
Congrats Ed na Josee,,,
Waliondoka so far ni Zlatan Ibrahimovic,Josh Harrop baada ya mikataba yao kuishaWakuu ivi kwanini morata kaachwa???
Je mpaka sasa ni mchezaji gani pale man u ameonyeshwa mlango wa kutokea??